Kwa mfano monks,monk anaungama kosa.
Anaulizwa"Unalitambua kwamba ni kosa?"
Anasema,ndiyo.
Anaulizwa,"Unaahidi kwamba hutalirudia tena?"
Anasema, ndiyo.
Basi,anaambiwa,katika dini yetu mtu akitambua kosa na akiahidi kutolirudia,hivyo ndivyo anavyoendelea kiroho .