Kipi bora?

Sio rahisi kiivo, me nimejaribu mara kibao lakini horaa. Yani inatokea tu mtu hayupo kwenye akili yako unaamua kugive up kuepusha lawama hapo mbeleni
Usiishi kwa mazoea na pia jaribu kuvaa viatu vya muhusika kuwa je ingekuwa wewe anakutenda hivyo ungejisikiaje???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…