Kipi bora?

Kipi bora?

Kwa uelewa wangu hii mambo iko na pande mbili, kwa mwanamke ata akipendwa na asiyempenda bado maisha yanaweza kwenda na mwisho wa siku mwanaume anaweza mfanya yule mwanamke akampenda tena sana tuu.
Shida inakuja kwa upande wa mwanamme, mwanamme anatakiwa kupenda kwanza, ata mwanamke awe mzuri kiasi gani awe amefudwa kiasi gani bado hana uwezo wa kumfanya mwanamme asiye mpenda ampende.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Hapo hakuna chenye unafuu, wengi ujidanganya eti uwe na unayekupenda, ukishindwa kumpenda utamuona kama kaka jirani tu.
 
Hayo yote ni kama swali moja, kumpenda mtu asiye kupenda ni manyanyaso, kupendwa na usiye mpenda ni usumbufu

Yote hayo si mambo mema kweli
 
Back
Top Bottom