Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
jamani naombeni ushauri nimefahulu masomo ya sayanc yote nina alama c, sasa lengo langu mm nikuw daktar baadae kwan hizo ni ndoto zangu na sitaki kutoka nje ya hapo sasa naombeni ushauri je nijiunge na diploma ya clinical then nipate dgree au niende advanc kipi ni sahihi hapo.bila kuzingatia muda utakao tumika , akhsante