Kipi cha pekee na tofauti (special) kwa Wema kwenye bongo movie?

Kipi cha pekee na tofauti (special) kwa Wema kwenye bongo movie?

Ndo tuzo kibongobongo hizo,
Ndio mana hata domo anashinda kilasiku tuzo
mbalimbali nje, swali je anastahili..
No kwasababu kuna majobless wengi sana bongo kukaa kwenye vijiwe vya internet siku nzima kupiga kura mara 100 haoni tabu. Ukiulizwa analipwa atakwambia yeye ni timu matako gani sijui.
 
Ndo tuzo kibongobongo hizo,
Ndio mana hata domo anashinda kilasiku tuzo
mbalimbali nje, swali je anastahili..
No kwasababu kuna majobless wengi sana bongo kukaa kwenye vijiwe vya internet siku nzima kupiga kura mara 100 haoni tabu. Ukiulizwa analipwa atakwambia yeye ni timu matako gani sijui.
Kura lazima zipigwe ndio utaratibu wa ulimwengu uwezi kimbia ukweli huu
 
Kura lazima zipigwe ndio utaratibu wa ulimwengu uwezi kimbia ukweli huu
Ni sawa kupiga kura, tatizo mtu mmoja anashinda anampigia kura msanii wake mara 1000 wakipiga 100?
Wenzetu nchi zingine sidhani km wana muda wa kufanya upuuzi huo
 
View attachment 733744
Watanzania mnayapata wapi mapenzi ya Wema Sepetu kwenye bongo movie?

Kipi special kwa Wema ambacho anafaa kupewa tuzo ya Best actress?

Nimeangalia Heaven Sent ni movie ya kawaida sana ambaye Wema anajifanya mwema na mshamba mpaka pale anakutana na Gabo.

Watanzania tuache double standard, Wema kwenye movie ambayo imempa tuzo mbili ni very normal.

By the say kuna movie nimeiona kibongo bongo inaitwa Fatuma, its a hell of a movie Director na waigizaj wanajua sana pia setting ya movie na story very unique.

Tuliobahatika kuiona ile movie ya wakenya inaitwa Watatu ni movie nzuri sana na imestahili kujishindia tuzo zile ambazo imepata, movie imeandaliwa miezi sita na walivyoona tayari wakamleta mtu kutoka USA kuja kuidirect na kutoa ujuzi tofauti tofauti na ilivyokamilika, imestahili.

Sasa basi Wema kupewa best actress na viewers choice award ni vile tu anamashabiki wengi wa kumpigia kura na isitoshe watanzania wanapenda ushabiki badala ya kazi.

Hii ni changamoto kwenye tasnia ya filamu na sanaa kwa ujumla. Mtu apewe anachostahili kutokana na ubora wa kazi yake but isiwe kwa mapenzi tu kwa kufika hivyo tasnia itafika pale watu wanapotaka ifike like watapenda zaidi na watakosa maneno ya kukosoa.

Kina Lupita Nyong'o walipata platform na wakaitumia vizuri hakuna ku fake vitu, wanatumia kipaji na taaluma professionalism hakuna kubebana.

Tukumbuke we r miles away kuwa nominated kwenye Oscars na tuzo zngine mashuhuri kama tukiendelea kubebana na kushabikia watu badala ya kazi.

God bless Tanzania God bless bongo movies
kilichompa wema tuzo nikujiamini kwake, wasanii wengine ni waoga na hawajiamini
 
Tunaendekeza ushabiki mpaka kwenye vitu vya msingi...
na waandaaji wa Tuzo nao wanavokuaga hawajitambui [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] basi utashtukia tu Tuzo kapewa amba lulu afu huelewi
 
Ni kweli wema sii msanii mzuri ila kilicho m'beba kwenye hizo tuzo zao ni kura za mashabiki wake.
Umeangalia Movie zake mpaka ukaconclude hivyo. Kuna mtu alikuwa ananiambia hivi unaangaliaje movie za wema nilimuwekea ndipo alipojua uigizaji wake. Wema huwa ni Halisi anapoact. Allin all haya mambo ya watanzania kupiga kura sijui movie. Wimbo yafanywe na wataaalamu lakini sio kupiga kura. Big no!
 
Hahahahah aisee,na ndio maana Tanzania kuwa maarufu ni dakika 0 tu. Kuna wapumbavu wengi sana ambao wapo tayari ku support mtu yeyote ataejiweka katika media hata kama hana la maana analofanya ila umaarufu tu.
 
Inawezekana washindi wa hizi tuzo wamepatikana kwa upigaji kura,sasa kama ana team na wamesisitiza watu wampigie kura kwanini asishinde wakati wewe hao unaowakubali hujawahi kuwapigia kampeni
 
Hahahahah aisee,na ndio maana Tanzania kuwa maarufu ni dakika 0 tu. Kuna wapumbavu wengi sana ambao wapo tayari ku support mtu yeyote ataejiweka katika media hata kama hana la maana analofanya ila umaarufu tu.
Kura za kora na kabla Davido aliimba "i will make you famous ooh"
Akimaanisha Diamond no my no 1.
Nyimbo ilivyokuwa kwenye Hit Diamond kafanya yake kapigiwa kama yeye tu alitoa nyimbo.
Ndio pale Davido alisema you lie on this too?
Davido, Tekno,Chameleon wala Wizk hawataki kusikia kabisa storyn za Huyu dogo wa tandale.
Nnachoweza sema kukomaa kakomaa licha ya magumashi mengi anaweza.
Ingawa kwasasa tujesabie kashafika.
 
Back
Top Bottom