Kipi chanzo hasa cha Chuki na kuuliwa kwa Wayahudi Ulaya?

Kipi chanzo hasa cha Chuki na kuuliwa kwa Wayahudi Ulaya?

HUMANIST

Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
23
Reaction score
23
Salaam wana jukwaa!

Sina haja ya kueleza kwa kina yaliyowakuta wayahudi, lakini Vitabu vya historia—vya kisekula na kidini—vinaeleza wayahudi walifukuzwa na kuuawa maeneo mengi ya Asia na ulaya, mfano Uajemi, Uyunani, Roma, Hispania, Ufaransa, Urusi, Italia na hatimaye Ujerumani.

Nini kimetokea ulaya leo hawachukiwi na kuuawa ambacho hakikuwepo 1940s, Medieval Times na Pre-Christ era?

Je, ni kwanini wayahudi waliuawa na kuchukiwa ulaya?

Angalizo; Lengo la uzi huu ni kujua chimbuko la mambo na si kutafuta uhalali. Pili, nisingependa udini utawale mjadala huu na tatu, lugha za staha ni muhimu.

Asanteni.
 
Salaam wana jukwaa!

Sina haja ya kueleza kwa kina yaliyowakuta wayahudi, lakini Vitabu vya historia—vya kisekula na kidini—vinaeleza wayahudi walifukuzwa na kuuawa maeneo mengi ya Asia na ulaya, mfano Uajemi, Uyunani, Roma, Hispania, Ufaransa, Urusi, Italia na hatimaye Ujerumani.

Nini kimetokea ulaya leo hawachukiwi na kuuawa ambacho hakikuwepo 1940s, Medieval Times na Pre-Christ era?

Je, ni kwanini wayahudi waliuawa na kuchukiwa ulaya?

Angalizo; Lengo la uzi huu ni kujua chimbuko la mambo na si kutafuta uhalali. Pili, nisingependa udini utawale mjadala huu na tatu, lugha za staha ni muhimu.

Asanteni.
Chimbuko na kiini cha chuki dhidi ya Wayahudi huko Ulaya hasa ni AKILI KUBWA ZAIDI WALIZONAZO WAYAHUDI.
Adolf Hitler aliona hili ni tishio kubwa sana kwa mustakabali mwema wa Wazungu ambao ni wenyeji wa asili barani Ulaya. Aliona kwamba Wayahudi walikuwa wanakaribia kuiteka Ulaya yote na dunia nzima kwa ujumla hususani kwenye sekta zote zinazohusu Sayansi na Teknolojia, Sekta ya Ugunduzi Mpya wa Kisayansi, Uvumbuzi na Bunifu mbalimbali za Kisayansi. Hofu kubwa kabisa ya Wazungu ilitokana na mambo haya, ndipo chuki binafsi ikaibuka dhidi ya Wayahudi.Wazungu waliona njia pekee ya kuzima kabisa kitisho hiki kikubwa ni kuwaangamiza kabisa Wayahudi wote pamoja na kizazi chao chote ili wasiwapiku Wazungu.
 
Chimbuko na kiini cha chuki dhidi ya Wayahudi huko Ulaya hasa ni AKILI KUBWA ZAIDI WALIZONAZO WAYAHUDI.
Adolf Hitler aliona hili ni tishio kubwa sana kwa mustakabali mwema wa Wazungu ambao ni wenyeji wa asili barani Ulaya. Aliona kwamba Wayahudi walikuwa wanakaribia kuiteka Ulaya yote na dunia nzima kwa ujumla hususani kwenye sekta zote zinazohusu Sayansi na Teknolojia, Sekta ya Ugunduzi Mpya wa Kisayansi, Uvumbuzi na Bunifu mbalimbali za Kisayansi. Hofu kubwa kabisa ya Wazungu ilitokana na mambo haya, ndipo chuki binafsi ikaibuka dhidi ya Wayahudi.Wazungu waliona njia pekee ya kuzima kabisa kitisho hiki kikubwa ni kuwaangamiza kabisa Wayahudi wote pamoja na kizazi chao chote ili wasiwapiku Wazungu.
Lakini, Waajemi waliwachukia hawa kabla hata ya Hitler!?🤔
 
Chimbuko na kiini cha chuki dhidi ya Wayahudi huko Ulaya hasa ni AKILI KUBWA ZAIDI WALIZONAZO WAYAHUDI.
Adolf Hitler aliona hili ni tishio kubwa sana kwa mustakabali mwema wa Wazungu ambao ni wenyeji wa asili barani Ulaya. Aliona kwamba Wayahudi walikuwa wanakaribia kuiteka Ulaya yote na dunia nzima kwa ujumla hususani kwenye sekta zote zinazohusu Sayansi na Teknolojia, Sekta ya Ugunduzi Mpya wa Kisayansi, Uvumbuzi na Bunifu mbalimbali za Kisayansi. Hofu kubwa kabisa ya Wazungu ilitokana na mambo haya, ndipo chuki binafsi ikaibuka dhidi ya Wayahudi.Wazungu waliona njia pekee ya kuzima kabisa kitisho hiki kikubwa ni kuwaangamiza kabisa Wayahudi wote pamoja na kizazi chao chote ili wasiwapiku Wazungu.
Sasa kama ni hivi, kwanini leo wazungu 'hawawachukii' tena?
 
Nikichunguza baadhi ya media wanasema Wayahudi wa asili ya roho mbaya na wivu na ubaguzi ndio maana wenyeji wao kila Nchi waliyombilia huko Ulaya waliwashindwa na kuwafurusha Hitler yeye akaona bora afute kizazi kwa kuwaoka kwenye tanuru. (Gas Chamber) kama mikate lakini bado hawabadiliki. Ulaya wakaona njia nzuri ya kuwaondoa nikuwatafutia sehemu huko Africa Uganda Wayahudi wakagoma wakaona bora wapelekwe Nchini Palestine kama wakimbizi.
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    16.5 KB · Views: 4
  • images-25.jpeg
    images-25.jpeg
    41.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom