Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Wakuu natumaini mpo salama ,, moja kwa moja kwenye mada ..
Ni hivi katika ajira hizi zilizotolewa na utumishi hivi karibuni ,, nimeona walimu wa Economics wakizuiliwa vikali kuomba nafasi ya kwenda kufundisha somo la business study ( commerce ) ..
Somo la bussiness study
Hili ni somo linaloenda kuanza kufundishwa katika shule za sekondari kwa mujibu wa mtaala mpya ulionza kutekelezwa hivi karibuni
Somo hili sifa zake zinafanana kwa kiwango kikubwa na somo la biashara ambalo hapo nyuma liliitwa Commerce ,,, somo hili linataka mwalimu mwenye sifa ya kulifundisha awe ni mwalimu aliye soma Bed com ( bookkeeping & commerce )
Lakini kumekuwepo na mfanano fulani kati ya somo la commerce na somo la Economics.. somo hili la Economics kwa hapa Tanzania ni somo ambalo linaanza kufundisha Advanve ( form 5&6 )..
Sasa katika ajira zilizotolewa na serikali kwa kupitia utumishi mfumo wa maombi umewakatilia walimu wa Economics wasiweze kuomba nafasi ya kwenda kufundisha somo la bussiness study .. ikiwa na maana walimu wa economics hawana sifa ya kufundisha somo hili
Halii imewaletea walimu hawa wa Economics unyonge mkubwa sana kwanini ??
Hebu tuangalie mada (topics ) za masomo haya kwa undani zaidi afu tuje tujadili kwa kina nini hasa kinapelekea walimu hawa wasiruhusiwe kufundisha somo hili la business study ambalo linapendekeza mtu aliyesoma commerce ndiyo awe mwalimu wa somo hili ,, licha ya kuwa somo hilo la commerce linamfanano mkubwa sana wa topics na somo la economics
Commerce, Economics
Topics - Topics
1. Scope of - 1. Subject of
Commerce. - Economics
2. Production. - 2. Production
3.trade - 3. Demand
- whole sale - supply
- retail trade
4. Ware hausing- 4. Privatization
5. Insurance - 5. Theory of
firm
6 . Advertizing - 6. Marketing
7 . Money and. - 7. Theory of
Banking. - Money
Natambua utofauti uliopo katika masomo haya lakini pia ningependa tujadili mfano mkubwa uliopo katika masomo haya mfano
Commerce , - Economics
Money and -theory of money
Banking -fancial institution
Trade - internation trade
Production. - Production
Je kwa mfanano huu bado mwalimu wa Economics hana sifa za kufundisha somo la commerce (huku litaitwa bussiness study ) tena katika level ya sekondari ??
Nimejaribu kuangali hili somo la bussiness study ambalo linaenda kuanza kufundishwa kuanzia ngazi ya form one ,,,,linafundisha vitu gani hasaa?? Na kuona yafuatayo
Topics
Bussiness study
1)theory and principle of business Education
2) discribe concept and principle of interprenuership
3) describe concept of production
4) source of capital
5) Role of micro financing
Je vitu hivi mwalimu wa Economics level ya degree hawezi kuvifundisha kweli mpaka tumnyime nafasi ya kufundisha somo hili la bussiness study ??
Wakuu hebu naombeni maoni yenu kwasababu naamini wakubwa wapo humu na wanasoma hivi vitu tunavyouliza hivyo huenda kwa namna moja au nyingine ikasaidia kuona kitu fulani ili tukawasaidia kwa namna moja au nyingine ndugi zetu ,, jamaa zetu ambao wamesomea fani ya ualimu katika soma la Ecomomics ..
Nimeambatanisha na mtaala wa somo hili la bussiness study ili kwa atakaye taka anaweza kupitia na kupata mwanga zaidi ili aweze kutoa maoni kama mwalimu w economics anafaa au hafai kulifundisha
Ni hivi katika ajira hizi zilizotolewa na utumishi hivi karibuni ,, nimeona walimu wa Economics wakizuiliwa vikali kuomba nafasi ya kwenda kufundisha somo la business study ( commerce ) ..
Somo la bussiness study
Hili ni somo linaloenda kuanza kufundishwa katika shule za sekondari kwa mujibu wa mtaala mpya ulionza kutekelezwa hivi karibuni
Somo hili sifa zake zinafanana kwa kiwango kikubwa na somo la biashara ambalo hapo nyuma liliitwa Commerce ,,, somo hili linataka mwalimu mwenye sifa ya kulifundisha awe ni mwalimu aliye soma Bed com ( bookkeeping & commerce )
Lakini kumekuwepo na mfanano fulani kati ya somo la commerce na somo la Economics.. somo hili la Economics kwa hapa Tanzania ni somo ambalo linaanza kufundisha Advanve ( form 5&6 )..
Sasa katika ajira zilizotolewa na serikali kwa kupitia utumishi mfumo wa maombi umewakatilia walimu wa Economics wasiweze kuomba nafasi ya kwenda kufundisha somo la bussiness study .. ikiwa na maana walimu wa economics hawana sifa ya kufundisha somo hili
Halii imewaletea walimu hawa wa Economics unyonge mkubwa sana kwanini ??
Hebu tuangalie mada (topics ) za masomo haya kwa undani zaidi afu tuje tujadili kwa kina nini hasa kinapelekea walimu hawa wasiruhusiwe kufundisha somo hili la business study ambalo linapendekeza mtu aliyesoma commerce ndiyo awe mwalimu wa somo hili ,, licha ya kuwa somo hilo la commerce linamfanano mkubwa sana wa topics na somo la economics
Commerce, Economics
Topics - Topics
1. Scope of - 1. Subject of
Commerce. - Economics
2. Production. - 2. Production
3.trade - 3. Demand
- whole sale - supply
- retail trade
4. Ware hausing- 4. Privatization
5. Insurance - 5. Theory of
firm
6 . Advertizing - 6. Marketing
7 . Money and. - 7. Theory of
Banking. - Money
Natambua utofauti uliopo katika masomo haya lakini pia ningependa tujadili mfano mkubwa uliopo katika masomo haya mfano
Commerce , - Economics
Money and -theory of money
Banking -fancial institution
Trade - internation trade
Production. - Production
Je kwa mfanano huu bado mwalimu wa Economics hana sifa za kufundisha somo la commerce (huku litaitwa bussiness study ) tena katika level ya sekondari ??
Nimejaribu kuangali hili somo la bussiness study ambalo linaenda kuanza kufundishwa kuanzia ngazi ya form one ,,,,linafundisha vitu gani hasaa?? Na kuona yafuatayo
Topics
Bussiness study
1)theory and principle of business Education
2) discribe concept and principle of interprenuership
3) describe concept of production
4) source of capital
5) Role of micro financing
Je vitu hivi mwalimu wa Economics level ya degree hawezi kuvifundisha kweli mpaka tumnyime nafasi ya kufundisha somo hili la bussiness study ??
Wakuu hebu naombeni maoni yenu kwasababu naamini wakubwa wapo humu na wanasoma hivi vitu tunavyouliza hivyo huenda kwa namna moja au nyingine ikasaidia kuona kitu fulani ili tukawasaidia kwa namna moja au nyingine ndugi zetu ,, jamaa zetu ambao wamesomea fani ya ualimu katika soma la Ecomomics ..
Nimeambatanisha na mtaala wa somo hili la bussiness study ili kwa atakaye taka anaweza kupitia na kupata mwanga zaidi ili aweze kutoa maoni kama mwalimu w economics anafaa au hafai kulifundisha