Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,202
- 2,045
- Thread starter
- #161
pole sanaKwa mara ya kwanza 2019 nimewahi kufikiri nmerogwa.
-Mwaka ambao nmejitoa kwa jamii kuliko miaka yote..
-Nme experience disappointment kubwa kubwa
-Nmetoka Misri nmekwama Jangwani labda 2020 ntafika Kanaani
-Lakini namshukuru Mungu Hata kama nmekwama jangwani ,nakula, nakunywa nina afya njema mengine majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
pia usipoteze focus ya maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app