Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Kwa mara ya kwanza 2019 nimewahi kufikiri nmerogwa.
-Mwaka ambao nmejitoa kwa jamii kuliko miaka yote..
-Nme experience disappointment kubwa kubwa
-Nmetoka Misri nmekwama Jangwani labda 2020 ntafika Kanaani
-Lakini namshukuru Mungu Hata kama nmekwama jangwani ,nakula, nakunywa nina afya njema mengine majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana
pia usipoteze focus ya maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka ambao nimeshindwa kutimiza lengo lolote kwa ukamilifu yaan kila nlichopanga Jan1 2019 ni kama vingi vimekwama..Mungu tu anisamehe tena kwa kutotii sheria zake tofauti na miaka mingine na anitie nguvu 2020!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri tupo pamoja kwenye hilo!!
Nimefanya mengi sana, ila najikuta narudi nyuma hatua tatu!!

Kiufupi sijaongeza chochote kwenye kitu kinachoitwa maendeleo yangu!
 
Nafikiri tupo pamoja kwenye hilo!!
Nimefanya mengi sana, ila najikuta narudi nyuma hatua tatu!!

Kiufupi sijaongeza chochote kwenye kitu kinachoitwa maendeleo yangu!
Inawezekana ulichokifanya/uliyoyafanya ni msingi wa mazuri yajayo...

Jinsi unavyochimba chini sana ndivyo unavyojenga jengo refu zaidi...
 
Ni mwaka ambao mwanangu alipata kupona baada ya kuteseka Kwa miaka minne,pia ni mwaka ambao Mungu aliniepusha na ajali mbaya,hiyo siku nilikua namwah mgonjwa hospital ,niliponea chupuchupu kugonga watoto watatu waliokua wanavuka kwenye zebra..kama sio Mungu sijui ningekua wapi.Hadi leo naogopa kuendesha gari, kichwa hakijakaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaan acha tuu upite 2019 ni mwaka mgumu sana hakuna nilichoanzisha kikaendelea,mipango mingi haijatimia,,disappointment nyingi kuliko encouragement ila Namshukuru Mungu afya ninayo pamoja na familiayangu
 
Mungu ni mwema
Ni mwaka ambao mwanangu alipata kupona baada ya kuteseka Kwa miaka minne,pia ni mwaka ambao Mungu aliniepusha na ajali mbaya,hiyo siku nilikua namwah mgonjwa hospital ,niliponea chupuchupu kugonga watoto watatu waliokua wanavuka kwenye zebra..kama sio Mungu sijui ningekua wapi.Hadi leo naogopa kuendesha gari, kichwa hakijakaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom