Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Mwaka wa majangaa kiasi na baraka pia... Nimegraduate salama lakini pia mwaka ambao nimeibiwa simu yangu pendwaaa[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji27][emoji27][emoji27] na mwaka unaoisha nikiwa na deni flani amaizing ila yatakwisha... Kubwa kuliko yote ni mwaka ambao nimepata mtoto so Ashukuriwe Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...daah sitakaa nisahau alikuwa ni mwanafunzi nilikimbia usiku peku sikujali mbigiri wala miiba na bukta yangu ya chelsea kitumbo wazi kuwaepuka wagambo wazazi wakiume walinirushia ndonga likanipata kwenye bega mengine yalinikosa sitasahau
 
Rosicky,

Ungeanza wewe kuelezea yakwako ingependeza zaidi.
asante kwa maoni
nimeacha kuanza mimi kwa sababu nimetaka watu wawe free kuelezea ktk nyanza zote
mm ningeweka yangu watu wengi sana wangeshuka sambamba na mm nilichokisema
mfano ningesema kuhusu mapenzi wengi wangetestify mapenzi

hope umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2019 imekuwa rough sana kwangu binafsi na familia yangu kwa ujumla, pengine ni mwaka niliotoa machozi mengi kuliko mwaka mwingine wowote. Tumekutana na mambo makubwa ambaya hatujawahi kuyashuhudia. Lakini naamini Mungu ni mwema yatakwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mishil
kama hutajali waweza kushare nasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom