Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,011
Mwaka wa majangaa kiasi na baraka pia... Nimegraduate salama lakini pia mwaka ambao nimeibiwa simu yangu pendwaaa[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji27][emoji27][emoji27] na mwaka unaoisha nikiwa na deni flani amaizing ila yatakwisha... Kubwa kuliko yote ni mwaka ambao nimepata mtoto so Ashukuriwe Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app