Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
AmenMungu ni Mwaninifu sana.. Mwaka 2020 ukawe wa kheri kwako.. Akusahaulishe mapito yote uliyopitia Mwaka 2019.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenMungu ni Mwaninifu sana.. Mwaka 2020 ukawe wa kheri kwako.. Akusahaulishe mapito yote uliyopitia Mwaka 2019.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu sikuweka malengo kabisa ila mpaka sasa jambo ninalojivunia ni biashara ambayo niliianzisha mwaka jana mwezi wa 10 ikiwa na msingi wa 2.5M ila mpaka jana napiga hesabu imefikia 6M
Kabisa mkuu.....ni kwa neema na juhudiSafari ni hatua, wengine wamefilisika, ongezeko hilo ni hatua nzuri hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mpendwa.Ni mambo mengi sana, ila hili la lililopo sasa hivi nitashea labda nikishalivuka maana sasa hivi hata mtu akiniuliza tu najikuta nalia. Hapa penyewe machozi yashaanza, acha tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu kwa kweli haukuwa mzuri sana kwangu ila yote nashukuru Mungu.Ni mwaka ambao sehemu kubwa nimejikuta nikiwa na majonzi na hasa ukiwa baada ya kufarakana na familia yangu.Nikiwa na mtoto mdogo ambaye alihitaji zaidi malezi ya pande mbili ila ikawa ni tofauti kabisa.
Nashukuru Mungu pamoja na yote uzima upo na wao wanaendelea vizuri.God is good all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, poleni mlifeli brakes ama,mtu aliwafanyia rough?Ahsante,hata sijui nani angejua tumemwagikia kule chini[emoji3][emoji3][emoji3]
Graduation ya mtoto ilitaka kuwa chanzo cha uyatima wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole dear, Mungu akuvushe salama.Ni mambo mengi sana, ila hili la lililopo sasa hivi nitashea labda nikishalivuka maana sasa hivi hata mtu akiniuliza tu najikuta nalia. Hapa penyewe machozi yashaanza, acha tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
big up sanaaMwaka huu sikuweka malengo kabisa ila mpaka sasa jambo ninalojivunia ni biashara ambayo niliianzisha mwaka jana mwezi wa 10 ikiwa na msingi wa 2.5M ila mpaka jana napiga hesabu imefikia 6M
Poleni sana!! Ni mapito na ya maisha tu hayo, we hope for a great 2020.2019 imekuwa rough sana kwangu binafsi na familia yangu kwa ujumla, pengine ni mwaka niliotoa machozi mengi kuliko mwaka mwingine wowote. Tumekutana na mambo makubwa ambaya hatujawahi kuyashuhudia. Lakini naamini Mungu ni mwema yatakwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuamini 2020 utakuwa mwaka wa furaha tu, mafanikio tu na afya njema kabisa.Mengi magumu yamenikuta..huu mwaka nimelia mno..ule msemo wa kuwa uyaone nimeushuhudia mwaka huu.
Kizuri ni yule mwanaume niliyeletewa maisha mwangu..[emoji4]
Namshukuru Mungu kwa yote niliyoyapitia.
Sent using Jamii Forums mobile app
AhsantePoleni sana!! Ni mapito na ya maisha tu hayo, we hope for a great 2020.
Ahsante kaka ake.Tuamini 2020 utakuwa mwaka wa furaha tu, mafanikio tu na afya njema kabisa.
Kwa hali yoyote waliyo nayo thamani yao inazidi kuongezeka. Mungu ni mwema, aendelee kuwajaalia afya njema na maisha marefu.Huu umekuwa ni mwaka wa majanga sana kwangu.
Nimelia mara nyingi nahisi kuliko hata miaka mingine iliyopita.[emoji17][emoji17]
Kikubwa ni uhai
Sent using Jamii Forums mobile app