Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kibaya zaidi kugongana na mke wa mtu (shemeji)Shemiji anaweza kuwa mke wa Kaka yako au nduguyo, pia dada zake na wadogo zake ni mashemeji.
Binamu ni mtoto wa mjomba au shangazi.
Kwahiyo unaona sawa kumgongea nduguyo ?binamu naonaga kama damu bado ipo...hao tuwaachie waarabu..ila shemeji akiingilia cha kichwa nampelekea moto
Kugonga binamu ni soo maana mna kaundugu ila shemji hakuna undugu kabisa.Shemiji anaweza kuwa mke wa Kaka yako au nduguyo, pia dada zake na wadogo zake ni mashemeji.
Binamu ni mtoto wa mjomba au shangazi.
Lakini binamu si ni nyama ya hamu, auππ€£πKugonga binamu ni soo maana mna kaundugu ila shemji hakuna undugu kabisa.
Dah! ππππππBinamu naonaga kama damu bado ipo...hao tuwaachie waarabu..ila shemeji akiingilia cha kichwa nampelekea moto