The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Ni mwanaume huyu jamaa?Anatia huruma kweli
Kilasiku yeye ni CDM,Lissu
Kamdomo kamdomo kamdomo π
Tumuulize mwenyewe π€Ni mwanaume huyu jamaa?
Nadhani kichwa chako kibovu.Ukiondoa kukutana na Warioba, kipi kikubwaTundu Lissu tangu achaguliwe amekifanya ndani ya CHADEMA au kwa taifa ambacho kinamfanya aaminike na kukuza chama chake?
Kwa mimi naona nothing.
Namuona Wasira na dkt Samia wakihamasisha zaidi watanzania waipende na waiamini CCM.
Pia soma > Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushind
Kutoka kuwa mtoa mawaidha ya Kiislam hadi kuwa chawa wa Samia na CCM yake ni anguko kubwa sana kiroho.Ukiondoa kukutana na Warioba, kipi kikubwaTundu Lissu tangu achaguliwe amekifanya ndani ya CHADEMA au kwa taifa ambacho kinamfanya aaminike na kukuza chama chake?
Kwa mimi naona nothing.
Namuona Wasira na dkt Samia wakihamasisha zaidi watanzania waipende na waiamini CCM.
Pia soma > Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi