mkonongo1938 JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 1,990 Reaction score 2,398 Jun 12, 2016 #21 Ni mazao yote tu mwaka huu yameanguka bei.. Mpanda kilo moja ya mchele sh.. 800
M Markomx JF-Expert Member Joined Apr 23, 2016 Posts 703 Reaction score 702 Jun 12, 2016 Thread starter #22 mkonongo1938 said: Ni mazao yote tu mwaka huu yameanguka bei.. Mpanda kilo moja ya mchele sh.. 800 Click to expand... sababu ni nini?ni kwa mwaka huu tu au
mkonongo1938 said: Ni mazao yote tu mwaka huu yameanguka bei.. Mpanda kilo moja ya mchele sh.. 800 Click to expand... sababu ni nini?ni kwa mwaka huu tu au
Bigbon JF-Expert Member Joined May 21, 2016 Posts 600 Reaction score 729 Jun 12, 2016 #23 Mkuu bei ya ufuta haieleweki mwaka huu.....hasara kubwa waliyollima kwa kutumia pesa za mkopo