Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko la Pepsi limeongezeka baada ya magereji kughundua kuwa inaondoa carbon haraka kwenye terminals za Betri za gari. Mzee , Pepsi ni janga la Afya yako. Wewe kwangua tu utumbo wako Kama terminal ya betri! Fainali uzeeni.
Kweli, hata mi nakunywaga pepsi mara nyingiMkuu hata wewe unaweza ukafanya observation...kuanzia mtaani mpaka kwenye mabaa..soda inayouzwa ni pepsi tu..coca wana hali mbaya sana!!
Bei mkuu, pepsi wanauza 500 kwa chupa wakati coca ni 600Wadau ili halina ubishi kwamba soda inayouza sana kwa sasa hapa nchini ni Pepsi, Kumkuta mtu anakunywa Coca ni nadra sana!
Je pepsi walifanya jitihada gani kuipiku Coca cola..je ni mbinu za kawaida kibiashara au kuna hujuma ndani yake?
Cocacola walipo punguza tu ujazo na kuleta vichupa vidogo halafu bei ikabaki ile ile hapo tu ndipo pepsi alipo anzia safari yake ya matumaini na kuja kumshusha pana kazi kubwa sana.Wadau ili halina ubishi kwamba soda inayouza sana kwa sasa hapa nchini ni Pepsi, Kumkuta mtu anakunywa Coca ni nadra sana!
Je pepsi walifanya jitihada gani kuipiku Coca cola..je ni mbinu za kawaida kibiashara au kuna hujuma ndani yake?
Soko la Pepsi limeongezeka baada ya magereji kughundua kuwa inaondoa carbon haraka kwenye terminals za Betri za gari. Mzee , Pepsi ni janga la Afya yako. Wewe kwangua tu utumbo wako Kama terminal ya betri! Fainali uzeeni.
Labda dar, sio mikoaniWadau ili halina ubishi kwamba soda inayouza sana kwa sasa hapa nchini ni Pepsi, Kumkuta mtu anakunywa Coca ni nadra sana!
Je pepsi walifanya jitihada gani kuipiku Coca cola..je ni mbinu za kawaida kibiashara au kuna hujuma ndani yake?
na dodomaKwa Utafiti wangu
>>>Pepsi anakimbiza kwa Dar, Moro
Cocacola anakimbiza Kaskazini.
Sijui sababu zake.
Sukari wamewazidi coca,+majani ya chai yamekuletea addictionAcheni utani,Pepsi tamu nyie