Kipi kiliwafanya wahenga kutunga misemo kama hii "Asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu"

Kipi kiliwafanya wahenga kutunga misemo kama hii "Asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu"

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna wakati nashawishika kuamini hata bibilia huenda iliandikwa kwa utaratibu kama huu wa wahenga!

Mfano misemo hii ingekuwa na majina ya wahenga ingeleta maana ileile ya kibiblia!

Mhenga 1:1 Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo
Mhenga 1:2 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mhenga 1:3 Asiyefunzwa na mama yake atafunzwa na Ulimwengu
Mhenga 1.4 Tamaa mbele mauti nyuma
Mhenga 1.5 Sifa zinaua
Mhenga 1.6 Mdhamini Hufariki
Mhenga 1.7 Mwanakulitafta Mwanakulipata
Mhenga 1.8 Kiburi si maungwana
Mhenga 1.9 Yatima hadeki
Mhenga 1.10 Leo kigeregere kesho kelele
Mhenga 1.11 Dunia hadaa Ulimwengu shujaa
Mhenga 1.12 Sheria ni msumeno hukata mbele na nyuma

HAWA WATU WALIWAZA SMART SANA BASI TU HATUKUPATA MAJINA YAO
 
Kuna wakati nashawishika kuamini hata bibilia huenda iliandikwa kwa utaratibu kama huu wa wahenga!

Mfano misemo hii ingekuwa na majina ya wahenga ingeleta maana ileile ya kibiblia!

Mhenga 1:1 Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo
Mhenga 1:2 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mhenga 1:3 Asiyefunzwa na mama yake atafunzwa na Ulimwengu
Mhenga 1.4 Tamaa mbele mauti nyuma
Mhenga 1.5 Sifa zinaua
Mhenga 1.6 Mdhamini Hufariki
Mhenga 1.7 Mwanakulitafta Mwanakulipata
Mhenga 1.8 Kiburi si maungwana
Mhenga 1.9 Yatima hadeki
Mhenga 1.10 Leo kigeregere kesho kelele
Mhenga 1.11 Dunia hadaa Ulimwengu shujaa
Mhenga 1.12 Sheria ni msumeno hukata mbele na nyuma

HAWA WATU WALIWAZA SMART SANA BASI TU HATUKUPATA MAJINA YAO
Zote kama zinamlenga 7ya / sir buyer
 
kuna Gaidi namba 1 lipo linasota gerezani kutokana na mipango yake miovu dhidi ya amani ya nchi.
lipo linavuna lilicho panda.
wacha dunia iwafunze.
kweli dunia hufundisha.
 
kwani mbowe ni nani mbele ya sheria za nchi hii?!
kama Haki imetendeka kwa Sabaya bilashaka itatendeka pia kwa Mbowe.
yaani wafuasi wa mtuhumiwa wa Ugaidi wanataka kutuaminisha kuwa Haki kwa mbowe ni kuachiwa tu sio kufungwa jela!!!
Haki ni Haki tu.
siku Mbowe akifungwa kifungo cha maisha pia msisahau kuipongeza mahakama kwa kutenda haki.
 
Kuna wakati nashawishika kuamini hata bibilia huenda iliandikwa kwa utaratibu kama huu wa wahenga!

Mfano misemo hii ingekuwa na majina ya wahenga ingeleta maana ileile ya kibiblia!

Mhenga 1:1 Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo
Mhenga 1:2 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mhenga 1:3 Asiyefunzwa na mama yake atafunzwa na Ulimwengu
Mhenga 1.4 Tamaa mbele mauti nyuma
Mhenga 1.5 Sifa zinaua
Mhenga 1.6 Mdhamini Hufariki
Mhenga 1.7 Mwanakulitafta Mwanakulipata
Mhenga 1.8 Kiburi si maungwana
Mhenga 1.9 Yatima hadeki
Mhenga 1.10 Leo kigeregere kesho kelele
Mhenga 1.11 Dunia hadaa Ulimwengu shujaa
Mhenga 1.12 Sheria ni msumeno hukata mbele na nyuma

HAWA WATU WALIWAZA SMART SANA BASI TU HATUKUPATA MAJINA YAO
Wazee wa Pwanis walikuwa na akili Sana.
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
 
kuna Gaidi namba 1 lipo linasota gerezani kutokana na mipango yake miovu dhidi ya amani ya nchi.
lipo linavuna lilicho panda.
wacha dunia iwafunze.
kweli dunia hufundisha.
Sio lile liko kaburini chattle?
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo? Misemo mingi ya wahenga haiko sawa.

Don't take it from me, take it from an American professor and expert in psychology :

In 2015, a meta analysis, a study of studies, found this pattern across thousands of studies following over 14 million twin pairs across 39 countries. They measured over 17,000 outcomes. And the researchers concluded that every single one of those outcomes is heritable. So genes influence who children become. But genes didn't explain everything. The environment mattered too, just something in the environment that didn't shape children growing up in the same home to be more alike. Some people have looked at these findings and concluded that parenting doesn't matter. That you would have become the same person you are today, regardless of who raised you.

Science can tell us a lot. But it will never tell us everything. So what can we do with this? First, know that parents matter. That might seem obvious, but smart people are arguing otherwise, and what seems obvious is not always true, as we've seen. Second, know that how parents matter is complex and difficult to predict. For anyone who has ever been a parent, stop blaming yourself, as if you are in control of your child's path. You have influence, but you don't have control. For anyone who has ever been a child, stop blaming your parents.

-Yuko Munakata on TED talk


In fact, sidhani kama ilihitaji akili kubwa kuja na hiyo misemo, ni mambo ambayo yako wazi they just put them in words!

Upande mwingine, mababu wa kizungu walikuwa ni 'real deal' na ndio maana hata wakawatawala babu zetu.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo? Misemo mingi ya wahenga haiko sawa.

Don't take it from me, take it from an American professor and expert in psychology :

In 2015, a meta analysis, a study of studies, found this pattern across thousands of studies following over 14 million twin pairs across 39 countries. They measured over 17,000 outcomes. And the researchers concluded that every single one of those outcomes is heritable. So genes influence who children become. But genes didn't explain everything. The environment mattered too, just something in the environment that didn't shape children growing up in the same home to be more alike. Some people have looked at these findings and concluded that parenting doesn't matter. That you would have become the same person you are today, regardless of who raised you.

Science can tell us a lot. But it will never tell us everything. So what can we do with this? First, know that parents matter. That might seem obvious, but smart people are arguing otherwise, and what seems obvious is not always true, as we've seen. Second, know that how parents matter is complex and difficult to predict. For anyone who has ever been a parent, stop blaming yourself, as if you are in control of your child's path. You have influence, but you don't have control. For anyone who has ever been a child, stop blaming your parents.

-Yuko Munakata on TED talk


In fact, sidhani kama ilihitaji akili kubwa kuja na hiyo misemo, ni mambo ambayo yako wazi they just put them in words!

Upande mwingine, mababu wa kizungu walikuwa ni 'real deal' na ndio maana hata wakawatawala babu zetu.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Sawa
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Kama mliweza wabambika kesi mashehe wa uhamsho na wazee wa escrow na kuwakalisha ndani miaka kwa uonevu mkubwa bila ushahidi , mngekuwa na ushahidi wasingeachiwa.kwann tusiamini Mbowe kabambikwa?
 
Back
Top Bottom