WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
Habarini wanajukwaa.
Ni muda mrefu sasa umepita tangu watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa IG kumuona KONKI3MASTER akitoa maoni yake yenye lugha ya 'matusi' dhidi ya 'wanyonyaji' wa wasaniii.
Na mara ya mwisho alionekana amejirekodi videos akimvurumishia 'mvua' ya matusi mkurugenzi mkuu wa Benchmark Production waendeshaji wa shindano la BSS Bi. Madam Rita. Baada ya hapo akaitwa kwa barua Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Nataka kujua, kipi kilitokea baada ya huo wito maana naona kimya? Kipi kimemkuta Dudu Baya? Mbona hata haposti kitu chochote kwenye page yake, vipi alifungiwa na TCRA kutumia IG baada ya zile 'MVUA' za matusi? Mwenye taarifa zake please mana akaunti yake ni mda sasa haipositiwi kitu na habari zake zisisikii kabisa.
Ni muda mrefu sasa umepita tangu watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa IG kumuona KONKI3MASTER akitoa maoni yake yenye lugha ya 'matusi' dhidi ya 'wanyonyaji' wa wasaniii.
Na mara ya mwisho alionekana amejirekodi videos akimvurumishia 'mvua' ya matusi mkurugenzi mkuu wa Benchmark Production waendeshaji wa shindano la BSS Bi. Madam Rita. Baada ya hapo akaitwa kwa barua Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Nataka kujua, kipi kilitokea baada ya huo wito maana naona kimya? Kipi kimemkuta Dudu Baya? Mbona hata haposti kitu chochote kwenye page yake, vipi alifungiwa na TCRA kutumia IG baada ya zile 'MVUA' za matusi? Mwenye taarifa zake please mana akaunti yake ni mda sasa haipositiwi kitu na habari zake zisisikii kabisa.