Kipi kimemsibu Mwanaharakati wa Instagram Dudu Baya?

Kipi kimemsibu Mwanaharakati wa Instagram Dudu Baya?

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Jamani wana Darisalaamu huyu mwamba wa Misungwi Dudubaya Aka Konki3 master mwanaharakati wa Instagram mnamuonaga huko?

Ni takriban miaka 2 huyu mwamba hajapost chochote huko Mitandaoni wafuasi wake tumemmiss sana

Tumemiss ule umwamba wake akishakula vitu vyake hana noma haogopi MTU anaweza kuzungumza chochote bila uoga, sasa nashangaa kazima gafla hazungumzi chochote vipi huko mitaani anaonekana pia na yy kakumbwa na wasiojulikana
 
Ni shiiiida.

Screenshot_20220326-212320.jpg
 
Jaman wana Darisalaamu huyu mwamba was Misungwi Dudubaya Aka Konki3 master mwanaharakati wa Instagram mnamuonaga huko? ni takriban miaka 2 huyu mwamba hajapost chochote huko Mitandaoni wafuasi wake tumemmiss sana tumemiss ule umwamba wake akishakula vitu vyake hana noma haogopi MTU anaweza kuzungumza chochote bila uoga, sasa nashangaa kazima gafla hazungumzi chochote vipi huko mitaani anaonekana pia na yy kakumbwa na wasiojulikana
Kabaki na simu ya tochi tu, ile aliyokuwa amepewa na Diamond alishaiuza.
 
Ni mchumba wa mtu huyo Kawekwa ndani, na yeye siku hizi anapakuliwa,.. Vijana epukeni sana kua karibu na WCB kile ni chuo cha ugasho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom