Mbona unafuatilia vitu vya hovyo vile? Kama wewe ni Ke naweza sema pengine unatafiti ili uone kama kazi hiyo inalipa ili nawe uingie. Kudanga ni DHAMBI.Waache wafanye mkuu..wasipofanywa wao watafanywa wakina nani?.....
Najua ni dhambi tena mbaya....ila tambua wale wamekosa mbadala...Mbona unafuatilia vitu vya hovyo vile? Kama wewe ni Ke naweza sema pengine unatafiti ili uone kama kazi hiyo inalipa ili nawe uingie. Kudanga ni DHAMBI.
Mbona unafuatilia vitu vya hovyo vile? Kama wewe ni Ke naweza sema pengine unatafiti ili uone kama kazi hiyo inalipa ili nawe uingie. Kudanga ni DHAMBI.
Hahahaha anataka kujua ABC kabisa kabla hajajitumbukiza jumla.Kwasababu hawalipi kodi.
Vp mkuu, hiyo kazi imekuvutia..??
!Wanadanga na majini au wanyama???
Ulishawahi jaribu hii biashara dada skyBiashara inayo shamiri maana yake ina wateja.
Kwakifupi tu, inalipa man...😊Hahahaha anataka kujua ABC kabisa kabla hajajitumbukiza jumla.
Zaidi ya tozo la miamala haina kodi wala husumbuani na wa TRA.Kazi ya kudanga sio nzuri. Ila sasa ni kazi inayolipa.
Udangaji ni new version ya umalaya.Utakuta mtu yuko chuo mwaka wa kwanza tayari keshaanza kupiga mzigo udangani
Mwingine yuko 39yrs kaachwa na mmewe kwa sababu ya uzee ndani ya siku 2 tayari keshajiingiza kwenye udangaji
Mwingine sasa kakosa hela ya kununulia mafuta ya kukuza nywele tayari keshaingia mzigoni udangani
Kipi kimepelekea hawa viumbe waliobahatika kuongea na shetani kuiona kazi ya kudanga kuwa kazi rahisi rahisi kufanywa
NakusalimiaBiashara inayo shamiri maana yake ina wateja.