Ni kawaida kabisa Nairobi kukutana na mtu mwenye akili timamu barabarani akiwa amevaa koti na tai mchana wa jua kali
Ni kawaida kabisa kwa mtumishi mwenye cheo kikubwa kabisa Kenya kuvuta bange, kutafuna miraa au kunywa chang'aa
Ni kawaida kabisa kwa kijana wa Kikenya kufa wakati akijaribu kujipiga picha/video ya hatari ili aweke kwenye mtandao wa TikTok
Ni kawaida kabisa kwa mkenya kumuua jirani yake eti kisa ni mluo na yuko anasupport ODM ya rails
Ni kawaida kabisa kwa kijana wa kikenya kuchukua/kukwapua $10000 za boss wake na kwenda kubet kisha kujiua pindi mkeka ukichanika
Ni kawaida kwa mkenya kujisaidia haja kubwa & ndogo kwenye mifuko na kwenda kuitupa barabarani
Ni kawaida kwa mkenya kuhongopa hadharani kuwa milima Kilimanjaro uko Kenya, mbuga ya Serengeti iko Kenya,mbwana Samatta ni mkenya,Diamond ni msanii wa Kenya
Ni kawaida kwa mkenya kuacha shughuli zake na kwenda kuandamana kwenye ubalozi huko ng'ambo kuomba ujenzi wa miundombinu iliyoko Tanzania isitiswhwe
Ni kipi kinawafanya wakenya kuwa watu wa maajabu,wanaofanya mambo ya kiuwendawazimu wakati wako na akili timamu
Mkenya mwengine ajishikiza katika gurudumu la ndege, afika Uholanzi akiwa hai
Tiktoker Nchini Kenya taabani kwa kudaiwa kula Buibui
Mtandao wa Tiktok ni janga la dunia wasipo litatua
Ni kawaida kabisa kwa mtumishi mwenye cheo kikubwa kabisa Kenya kuvuta bange, kutafuna miraa au kunywa chang'aa
Ni kawaida kabisa kwa kijana wa Kikenya kufa wakati akijaribu kujipiga picha/video ya hatari ili aweke kwenye mtandao wa TikTok
Ni kawaida kabisa kwa mkenya kumuua jirani yake eti kisa ni mluo na yuko anasupport ODM ya rails
Ni kawaida kabisa kwa kijana wa kikenya kuchukua/kukwapua $10000 za boss wake na kwenda kubet kisha kujiua pindi mkeka ukichanika
Ni kawaida kwa mkenya kujisaidia haja kubwa & ndogo kwenye mifuko na kwenda kuitupa barabarani
Ni kawaida kwa mkenya kuhongopa hadharani kuwa milima Kilimanjaro uko Kenya, mbuga ya Serengeti iko Kenya,mbwana Samatta ni mkenya,Diamond ni msanii wa Kenya
Ni kawaida kwa mkenya kuacha shughuli zake na kwenda kuandamana kwenye ubalozi huko ng'ambo kuomba ujenzi wa miundombinu iliyoko Tanzania isitiswhwe
Ni kipi kinawafanya wakenya kuwa watu wa maajabu,wanaofanya mambo ya kiuwendawazimu wakati wako na akili timamu
Mkenya mwengine ajishikiza katika gurudumu la ndege, afika Uholanzi akiwa hai
Tiktoker Nchini Kenya taabani kwa kudaiwa kula Buibui
Mtandao wa Tiktok ni janga la dunia wasipo litatua