Kipi kinachotafunwa?

mkuu asubuhi yote hii hakuna kilichokufikirisha zaidi ya huu ujinga!? anyway ngoja nikabe seat tuu hapa
 
Sijui kuhusu nyinyi lakini mimi hua nawaza sana ninapokua chooni.

Yanakujaga maswali madogo madogo ya ajabu ajabu ndiyo maana wazungu wanaenda na simu au gazeti.
 
Kinachotafunwa ni BUMUNDA. ,,KITUMBUA,,,SAMBUSA,,,ANDAZI,,,,kwa kifupi chochote KINACHOFINYANGWA na KUPAPASWA ni kitafunwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinacho ingia ndio ninatafunwa mzee , kinacho ingiza ndio kinatafuna nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…