Kipi kinauma zaidi kwenye maisha?

Kipi kinauma zaidi kwenye maisha?

One yes

Member
Joined
Aug 13, 2024
Posts
33
Reaction score
39
Kwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku??
1.kufiwa na mzazi au wazazi
2.kufiwa na mpenzi au mke
3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu
4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke
5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi??

🤔�🤔🤔🤔
 
Mantiki ya mm kumtaka yeye anaonaje ilikuwa na maana moja kubwa

Sio kwamba binadamu anakumbana na mambo yote hayo kwa mara moja,kisha labda apime lipi linauma zaidi

Ukweli ni kwamba hakuna kubwa kuliko lingine pale litakapo kupata,kwahiyo kwa lolote ambalo utalipata kwa wakati huo ndio litakuumiza
 
Kwangu mimi maumivu makali niliyopitia
Kufiwa na mamangu mzazi mwaka wa 3 ila kila nikikumbuka natokwa na chozi....yote tisa hakuna kitu kibaya kama kuona mtu wako unaempenda lazima afe una ujua haya magonjwa .tu akiumwa sana mnakuwa mnajua haponi

Maumivu ya pili mpenzi wangu niliyekaaa nae miaka sita ...mmmh huyu alivyoondoka sikumia mwanzoni ila roho iliniuma hapo kipato kimeyumba mwanamke kasepa wewe maumivu pasi inasubiri....


Maumivu mengine niliwahi pitia ni kusoma na watoto wa matajir wakati wewe ni mtoto wa masikini wenzio wanatumiwa pocket money laki moja wewe mama ako anakutumia 15000tsh ....utakula ugali wa shule hadi ufe

Basi nashukuru mungu baada kumaliza shule nilipata kipato kizuri sana na maisha yanaenda biashara za china zinasadia huwa nasahau maumivu

La mwisho siku narudi nyumbani kwangu saa tatu usiku nakaa sebuleni nashangaa mchumba wangu anatoka chumbani anasema magufuli kafariki sito sahau naangalia kwenye simu nakuta kila kapost niliumia sana ile siku........ kama kafa ndugu yangu wa karibu hadi leo nikionaga picha ya magu nasemaga mungu
 
Kwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku??
1.kufiwa na mzazi au wazazi
2.kufiwa na mpenzi au mke
3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu
4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke
5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi??

🤔�🤔🤔🤔
Kila kitu kinaumaaa tena sanaaa it depends na muda tu mkuu
 
Kwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku??
1.kufiwa na mzazi au wazazi
2.kufiwa na mpenzi au mke
3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu
4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke
5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi??

🤔�🤔🤔🤔
Inategemea ukaribu ulio nao na hao kwenye list uliyoweka, inawezekana rafiki ikauma kuliko mama yako, believe me
 

Kwangu mimi maumivu makali niliyopitia
Kufiwa na mamangu mzazi mwaka wa 3 ila kila nikikumbuka natokwa na chozi....yote tisa hakuna kitu kibaya kama kuona mtu wako unaempenda lazima afe una ujua haya magonjwa .tu akiumwa sana mnakuwa mnajua haponi

Maumivu ya pili mpenzi wangu niliyekaaa nae miaka sita ...mmmh huyu alivyoondoka sikumia mwanzoni ila roho iliniuma hapo kipato kimeyumba mwanamke kasepa wewe maumivu pasi inasubiri....


Maumivu mengine niliwahi pitia ni kusoma na watoto wa matajir wakati wewe ni mtoto wa masikini wenzio wanatumiwa pocket money laki moja wewe mama ako anakutumia 15000tsh ....utakula ugali wa shule hadi ufe

Basi nashukuru mungu baada kumaliza shule nilipata kipato kizuri sana na maisha yanaenda biashara za china zinasadia huwa nasahau maumivu

La mwisho siku narudi nyumbani kwangu saa tatu usiku nakaa sebuleni nashangaa mchumba wangu anatoka chumbani anasema magufuli kafariki sito sahau naangalia kwenye simu nakuta kila kapost niliumia sana ile siku........ kama kafa ndugu yangu wa karibu hadi leo nikionaga picha ya magu nasemaga mungu
Mmh my condolences to you family
 
Kwa sasa nikiachwa na huyu niliye nae...
Oooh nitalia sana nitalia sana wakuu..
Wakuu talia sana aiseeee...
 
Back
Top Bottom