NdioMojawap ya maumivu makal san mkuuu
Unakuwa umelambwa pote pote πUmekua shortlisted umefeli interview umepoteza Pesa umekosa Pesa
πUmewai pata choo kigumuπ₯Ά
Yaan huyo anaekupiga miti kwa sasa akikuacha utalia sana km umefiwa?Kwa sasa nikiachwa na huyu niliye nae...
Oooh nitalia sana nitalia sana wakuu..
Wakuu talia sana aiseeee...
Kuna watu huwa mnafosi sana ligi aiseee ππππYaan huyo anaekupiga miti kwa sasa akikuacha utalia sana km umefiwa?
KichwaKwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku??
1.kufiwa na mzazi au wazazi
2.kufiwa na mpenzi au mke
3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu
4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke
5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi??
π€οΏ½π€π€π€