Kipi kipindi bora kati ya Friday night live na D'Wikend chat show

kwahiyo unataka kusema nawasingizia?
FNL kina wadhamini vp kuhusu wale wanaume wambea?
Hamna umeninukuu vibaya, ila napinga kwa 100% unavyosema wanamzungumzia diamond pekee hii sio kweli hata kidogo
 
kwanza Mungu kanipendelea sana tv yangu ina king'amuzi cha humo humo kwa hiyo haikamat clouds ushindi wa kwanza hii ina maana hadi nitumie star times kuangalia clouds wakat hicho king' amuz cha star times sikipend kimekaa tu hapa ni mwendo wa FNL kila ijumaa hao wa clouds niliwaangalia mwaka 2013 sikurudia tena had leo watasubir sna.
 
Unakosa mambo mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…