Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakosa mambo mazuri
Hao clouds staff wenyewe wakiwa kwao wanafungulia EATV.
Kuhusu Sudi ule ni ubunifu wa kipekee kabisaFNL wako vzuri na serious na kipinddi hyo ya clouds wamezidisha uswahiili na umbeya na huyo sudi anavovaaga huko usoni ka jambazi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hao clouds staff wenyewe wakiwa kwao wanafungulia EATV.
Ni kweli kabisaaaaFNL iko vizuri sana kuliko hao hata huwa siwaelewi kipindi kinaisha kama umeme umekatika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kile cha clouds kinatakiwa kiitwe Diamond wknd chrt show.maana kira wiki ni ooho diamond kalala na mobeto,
ooho wema kalala madale,
oooh mama mond kamlisha zar na mkono wa kushoto
oooh wolper bado anatoka na mond halmo ni mpambe tuu.
Siku wasipomzunguzia diamondi nadhani hawakunikagi.
Tutakua tumependelewa wote mkuu... Mimi kwangu clouds ilipotea tu yenyewe mpaka leo sikutaka kujua sababu. Fnl fnl fnl fnl fnl baasi...kwanza Mungu kanipendelea sana tv yangu ina king'amuzi cha humo humo kwa hiyo haikamat clouds ushindi wa kwanza hii ina maana hadi nitumie star times kuangalia clouds wakat hicho king' amuz cha star times sikipend kimekaa tu hapa ni mwendo wa FNL kila ijumaa hao wa clouds niliwaangalia mwaka 2013 sikurudia tena had leo watasubir sna.
Pamoja na kuiga lakini studio yao ni finyu sanaAcha kulinganisha Friday night live na vitu vya kijinga. Clouds wameiga hicho kila kitu kutoka eatv na bado wameshindwa kuwa wabunifu
Kwahiyo kumbe clouds nao wana kipindi kama cha fnl!?Ndo hasara ya ku copy ..... Hata maudhui hawana..... Huwaga wanafungulia dunia ipiFNL wako vzuri na serious na kipinddi hyo ya clouds wamezidisha uswahiili na umbeya na huyo sudi anavovaaga huko usoni ka jambazi
KumbeHamna bora vyote vinatangazwa na mashoga shoga tuu.....
Tutakua tumependelewa wote mkuu... Mimi kwangu clouds ilipotea tu yenyewe mpaka leo sikutaka kujua sababu. Fnl fnl fnl fnl fnl baasi...