Kipi kipindi bora kati ya Friday night live na D'Wikend chat show

Clouds tv katika masuala ya graphics na sound Hamna kitu kabisa... Hawawezi kuwafikia EATV hata kidogo japokuwa huwa wana idea yaaani ile wangepata studio za EATV wangekuwa mbali
 
Wengi wanao changia hapa wame fel ku balance story.
Utasikia FNL ipo vzuri ila mawingu blah blah blah...(usitangulize jazba coz huu mchezo hauhitaji hasira)
Can't you go straight to the point!!! Hapa hailinganishwi Fnl na clouds bali fnl na da'weekend chat show.
 
Clouds tv katika masuala ya graphics na sound Hamna kitu kabisa... Hawawezi kuwafikia EATV hata kidogo japokuwa huwa wana idea yaaani ile wangepata studio za EATV wangekuwa mbali
Sikuhizi wanajitahidi kuwacopy EATV, zamani Graphix ndio walikuwa zero kabisa, sahivi angalau wanajitahidi mfano kwenye kipindi cha Clouds 360 na kile cha Shadee
 
Ndo hivyo sasa tunasema utalinganishaje FNL na vitu vya kishen.zi...?

Hiyo Da weekend chat show ifananishwe na FUTUHI labda.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…