Kipi kitatokea ikiwa mwanamke atatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume..?

kwani binadamu akitumia sumu ya panya nini kitatokea?
 
Pombe za kienyeji huwa zinawafanya wanywaji wafikirie kinyume nyume.
 
Hazitomfanya chochote...

Ni sawa na kuuliza mwanaume akitumia vidonge vya majira vitamfanya nini? Vilivyotengenezwa maalum kwa mwanamke


Cc: mahondaw
 
mkuu hizo zinaongeza msuko wa damuu kwenye uume skwaiyo mwanamke haitamsaidia
 
Blood pressure yake itashuka, kama ana hypo tension anaweza kuzima jumla
 
sa c itaongeza msukumo wa damu kweny papuchu
hapana hana receptor zinazoweza toa mwitikio kwa iyo dawa ni sababu inafanya kazi kwa ku dilate blood vessel zilizoko kwenye uume asa maumbile hayo mwanamke hana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…