Kipi ni afadhali kati ya mwanafunzi na mke wa mtu!

Kipi ni afadhali kati ya mwanafunzi na mke wa mtu!

Sasa mke wa mtu ni mtu mzima na anakubali mwenyewe...sionagi sbabu za watu kuwatahadharisha wengine kuhusu mke wa mtu.

Mkeo akiliwa jua umeoa malaya tu,na kosa sio la walaji kosa ni la mkeo so pambana nae.
Umemaliza Mzee
 
Afadhali mke wa mtu japo usimlie karibu na kwake lia hata kibaha au mbezi
 
Kumpa mwanafunzi ujauzito na kutembea na mke kipi ni afadhali...! wakuu maana kuna jamaa alitembea na mke wa mtu walimfyeka mkono (story kutoka kijiweni) na kuna co worker mwenzangu kampa mwanafunzi mimba wa form 3 mpaka leo hajulikani alipo..?

Which is which wakuu...?
Mkuu jela unapajua vzuri kweli!?[emoji23][emoji23]
 
Wote wewe kula tu, ila wakati wote uwe na bastola full magazine, mwenye mke ama zako ama zangu akijipendekeza guest usilembe, mlenge jicho, ili akipona asione papuchi tena,

Angekupenda asingekuja kwangu, bora uende jela kwa kuua, utaheshimika gerezani, hata ukitoka atakuheshimu kuliko kufumuliwa marinda ukabaki huru mtaani.
 
Bora mke wa mtu. Maana mwanafunzi utaenda jela na utajikuta umekua mke wa watu kwa miaka 30
Halafu kuna mabadiliko ya sheria yanakuja soon kuwa ugoni sio kosa kisheria. Heri kula muke ya mtu. Maana sheria kuhusu denti zinazidi kuwa kali mno.
 
Afadhali mke wa mtu japo usimlie karibu na kwake lia hata kibaha au mbezi
Dare es Salamu ukifumaniwa jua wewe bwege. Usikubali ke akupangie lodge ya kwenda.

Dsm ina lodge mpaka uchochoroni, nahisi siku ya kiama ndio itakuwa kuni
 
Suluhisho ni single mothers na vigori above 18. But sexual harassment haifai na wala usitumie hela kama fimbo ya kunyanyasa wengine.
 
Mwanafunzi utapoteza Uhuru wako uraiani kwa kifungo cha miaka 30.
Mke wa mtu utapoteza marinda yako.
 
Bora mwanafunzi,,,ila hakikisha uwe na pesa hata ukikamatw unapooza wazazi maisha yanaendelea,,,BT mke wa mtu baba lazma unaweza usipochezea KY waweza hata kurogwa
 
Jamani - yaani huku kwetu Kaliua ndio mfano wa ndani ndani huko!
Bora mke wa mtu unaweza kuwahonga washkaji wakakuachia mwanafunzi ni wa moto manake serikali inakuletea pila hata ukiwa kaliua tabora ndani ndani huko
 
Kumpa mwanafunzi ujauzito na kutembea na mke kipi ni afadhali...! wakuu maana kuna jamaa alitembea na mke wa mtu walimfyeka mkono (story kutoka kijiweni) na kuna co worker mwenzangu kampa mwanafunzi mimba wa form 3 mpaka leo hajulikani alipo..?

Which is which wakuu...?
Hahaha
 
Back
Top Bottom