Umemaliza MzeeSasa mke wa mtu ni mtu mzima na anakubali mwenyewe...sionagi sbabu za watu kuwatahadharisha wengine kuhusu mke wa mtu.
Mkeo akiliwa jua umeoa malaya tu,na kosa sio la walaji kosa ni la mkeo so pambana nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza MzeeSasa mke wa mtu ni mtu mzima na anakubali mwenyewe...sionagi sbabu za watu kuwatahadharisha wengine kuhusu mke wa mtu.
Mkeo akiliwa jua umeoa malaya tu,na kosa sio la walaji kosa ni la mkeo so pambana nae.
Unaweza ukawala wote na isitokee hata kimoja, ni kua makini tuUkishikwa na
Mke wa mtu: Utatatuliwa marinda
Mwanafunzi: Jela miaka 30
Kipi bora?
Mkuu jela unapajua vzuri kweli!?[emoji23][emoji23]Kumpa mwanafunzi ujauzito na kutembea na mke kipi ni afadhali...! wakuu maana kuna jamaa alitembea na mke wa mtu walimfyeka mkono (story kutoka kijiweni) na kuna co worker mwenzangu kampa mwanafunzi mimba wa form 3 mpaka leo hajulikani alipo..?
Which is which wakuu...?
Wee bora mke. Jela unaweza kuolewa na wenzakoHakuna chenye uafadhali
Noma sana!Mke wa mtu
1. Malinda
2. Kukatwa mkuyenge
3. Kuuawa
Mwanafunzi
1. Jera 30 yrs
2. Kuwa mke wa wafungwa wenzako
3. Kuishi kusikojulikana na maisha ya hofu siku zote.
Lolote laweza kutokea.
WEEEE THUBUTU minjemba itakufaidi hukuinaji selfie itakudhalikisha na kashfa juuWee bora mke. Jela unaweza kuolewa na wenzako
Halafu kuna mabadiliko ya sheria yanakuja soon kuwa ugoni sio kosa kisheria. Heri kula muke ya mtu. Maana sheria kuhusu denti zinazidi kuwa kali mno.Bora mke wa mtu. Maana mwanafunzi utaenda jela na utajikuta umekua mke wa watu kwa miaka 30
Dare es Salamu ukifumaniwa jua wewe bwege. Usikubali ke akupangie lodge ya kwenda.Afadhali mke wa mtu japo usimlie karibu na kwake lia hata kibaha au mbezi
[emoji23][emoji23][emoji23] Yaan unakufa huku unapata utamu [emoji22]Nina swali dogo sana, nalo ni :
Sumu ikiwekwa ndani ya asali utaweza kuigundua?
Bora mke wa mtu unaweza kuwahonga washkaji wakakuachia mwanafunzi ni wa moto manake serikali inakuletea pila hata ukiwa kaliua tabora ndani ndani huko
HahahaKumpa mwanafunzi ujauzito na kutembea na mke kipi ni afadhali...! wakuu maana kuna jamaa alitembea na mke wa mtu walimfyeka mkono (story kutoka kijiweni) na kuna co worker mwenzangu kampa mwanafunzi mimba wa form 3 mpaka leo hajulikani alipo..?
Which is which wakuu...?