Kuna vyenye afadhali tu kama udsm,sua,ifm,IAA.Ila huwezi sema ni vyuo bora.
bwa mdogo ifm na iaa hizo ni taasisi tu huwezi kuzipa hadhi ya chuo,elewa swali la muanzisha uzi.
ZOOM POLYTECHNIC COLLEGE na DATASTAR COLLEGE
Kila mtu anasifia ubora wa chuo chake na si akili na ujuzi wake,hasa madenti wa udsm wanajikweza kua ndo no moja tz
Muccobs
Muccobs
uko chuo gani Bumija??
Niko ud
Niko ud