Kipi ni chuo bora kwa kozi za Engineering kati ya UDSM,DIT na MUST ?

kama lengo lako ni kuwa mhandisi ulieiva nakushauri nenda udsm..pia kama lengo lako ni kuwa fundi mchundo uliyeiva nenda DIT.
asante

waropokaji buana sijui mna nini lakini....hao DIT unaowaita fundi mchundo ndio syllabus yao inatumiwa na udsm....yaani kwa ufupi ni kiwa udsm walicopy mzigo kutoka dit
 
waropokaji buana sijui mna nini lakini....hao DIT unaowaita fundi mchundo ndio syllabus yao inatumiwa na udsm....yaani kwa ufupi ni kiwa udsm walicopy mzigo kutoka dit
Unajua COET vizuri hile ilikuwa inatwa FOE imeazishwa mwaka 1973 kipindi hicho hiyo hicho chuo za mafundi mchundo DIT( DTC) takataka
 
Hivi kati ya vyuo tajwa hapo juu kipi kinanoa vizuri wanafunzi kinadharia na vitendo katika kozi za engineering?,hasa Electrical engineering.
Kama akili ziko za kutosha Nenda DIT
DIT kwenye electrical Engineering ya vitendo ni moto wa kuotea mbali
 
Mkuu unabisha nini? Au mpaka uambiwe wengine tumeshawahi kufundisha huko ndiyo uelewe?
 
Unafikiri DIT wana degree za kuhonga kama huko unapopanadi? Hatutaki kuandika mengi, sisi tunafahamu mengi. Mwisho wa siku isije ikaonekana tuhuma au unachafua jina la Chuo fulani.

DIT kuzungusha ni rahisi sana ukiwa unasoma kama usomaji wa UDSM.
 
Unaongopa kwa faida ya nani? Mbona Udsm evening program zipo? Point yako hasa ni nini?

Ila fahamu kuwa bila engineer wa DIT hata hii Jf usingeijua.
 
Kiufupi vyuo vyote(DIT & COET) ni vizuri uzuri wa mtu hauangalii chuo alichosoma ila ni juhudi yake na bidii katika masomo na kujituma akiwa kazini hizi zingine hapa ni mbwembwe na ushabiki tu.Maana ukienda kazini unakuwa na General knowledge ya Engineering sasa kujituma kwako kule kazini na utundu kutaka kujifunza vitu vingi ndiyo mafanikio yako.
Unaongopa kwa faida ya nani? Mbona Udsm evening program zipo? Point yako hasa ni nini?

Ila fahamu kuwa bila engineer wa DIT hata hii Jf usingeijua.
Zu
 
Unafikiri DIT wana degree za kuhonga kama huko unapopanadi? Hatutaki kuandika mengi, sisi tunafahamu mengi. Mwisho wa siku isije ikaonekana tuhuma au unachafua jina la Chuo fulani.

DIT kuzungusha ni rahisi sana ukiwa unasoma kama usomaji wa UDSM.
Kuna mwenzako kutoka chuo chako unachosema hakitoi degree za kuhonga alikuwa haoni tofauti ya graduates wa bachelor degree ya electronics na fundi mhitimu wa darasa la saba. Sasa kama tu alumni anashindwa kuona utofauti wake yeye na std 7 utatuaminisha vipi kwamba degree ya DIT ni bora kuliko ya UDSM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…