Kipi ni chuo bora kwa kozi za Engineering kati ya UDSM,DIT na MUST ?

Kipi ni chuo bora kwa kozi za Engineering kati ya UDSM,DIT na MUST ?

Mwambie aje DIT, ila ajiandae kupiga msuli kweli kweli, mimi napiga electrical tukienda kufungua naingia mwaka wa pili,
Kama ni dogo anaejielewa niconnect nae, nimpe mbinu za pale maana mwaka wa kwanza unasumbua sana mambo yanakuwa mengi, yanachanganya kabla hajakaa vizuri test one izo hapa kabla haujajiweka sawa test twoo nazo izo, kabla mtu hajapumua UE inaanza,
Si ajabu kutoka na sup 5 kati ya module 10, mtu hapo ndo anaanza kukichukia chuo na kuona mambo ni magumu,
Ila ukiwa na mtu wa kukuelekeza mambo yanavyokua mapema unapita kirahisi sana.
 
Mwambie aje DIT, ila ajiandae kupiga msuli kweli kweli, mimi napiga electrical tukienda kufungua naingia mwaka wa pili,
Kama ni dogo anaejielewa niconnect nae, nimpe mbinu za pale maana mwaka wa kwanza unasumbua sana mambo yanakuwa mengi, yanachanganya kabla hajakaa vizuri test one izo hapa kabla haujajiweka sawa test twoo nazo izo, kabla mtu hajapumua UE inaanza,
Si ajabu kutoka na sup 5 kati ya module 10, mtu hapo ndo anaanza kukichukia chuo na kuona mambo ni magumu,
Ila ukiwa na mtu wa kukuelekeza mambo yanavyokua mapema unapita kirahisi sana.
Ntakucheck
 
Nacheka sana hawa madogo wanavyodanganyana. Eti DIT
 
Mwambie aje DIT, ila ajiandae kupiga msuli kweli kweli, mimi napiga electrical tukienda kufungua naingia mwaka wa pili,
Kama ni dogo anaejielewa niconnect nae, nimpe mbinu za pale maana mwaka wa kwanza unasumbua sana mambo yanakuwa mengi, yanachanganya kabla hajakaa vizuri test one izo hapa kabla haujajiweka sawa test twoo nazo izo, kabla mtu hajapumua UE inaanza,
Si ajabu kutoka na sup 5 kati ya module 10, mtu hapo ndo anaanza kukichukia chuo na kuona mambo ni magumu,
Ila ukiwa na mtu wa kukuelekeza mambo yanavyokua mapema unapita kirahisi sana.

mwaka wa pili beng miaka mitatu au minne??
 
Kakutane na kitu inaitwa mathematics engineering nahisi utaelewa vizuri na bado babu yake Code duuh shikamoo udsm
 
Back
Top Bottom