Kipi ni hatari zaidi

Kipi ni hatari zaidi

semmy samson

Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
85
Reaction score
0
Wasalaaaam wana jf wote na poleni na shughuli za kila siku.

Jamani naombeni msaada wa kitaalam, eti kati ya sigara na pombe kipi kinamadhara makubwa zaidi katika afya ya mtumiaji? Long term effects and short term effects.

The man from no where
 
Hakuna kilichonafuu. Vyote ni hatari. Achana navyo.
I think kila kitu, ukitumia kwa uingi ni hatari kwa afya yako. ila kuna vitu vingine, hata ka dose kadogo ni hatari tayari.
Pombe sio mg=baya kwa afya kama unatumia kidogo (get a definition of pombe kidogo kwa Dr). Ila sigara, hata kidogo ni mbaya tayari. kwanza ile nicotine inaleta addiction, pia ule moshi unaganda ndani ya mapafu na unaweza kusababisha magonjwa mengi ikiwemo cancer.
Pia dini nyingi zina kataza madawa ya kulevya, na lazma kuna sababu hapo. Kama inawezakana bora zote ziitwe mbaya but if you have to keep one kumbe bora pombe (from a health perspective)
 
WASALAAAAM WANA JF WOTE NA POLENI NA SHUGHULI ZA KILA SIKU.

JAMANI NAOMBENI MSAADA WA KITAALAM, ETI KATI YA SIGARA NA POMBE KIPI KINAMADHARA MAKUBWA ZAIDI KATIKA AFYA YA MTUMIAJI? LONG TERM EFFECTS AND SHORT TERM EFFECTS.


tHE mAN fRoM nO wHeRe
Sigara ni hatari zaidi
 
Smoking generally affects a smoker's health, harming nearly every organ of the body, and causing many diseases.


  • heart attacks and stroke
  • gallstones
  • aneurysms
  • leads to less stamina
  • cancer
  • peptic ulcers
  • bronchitis
  • damage a woman's reproductive health
  • accelerates the development of the macular degeneration
 
Alcohol impairs behavior, judgment, memory, concentration and coordination.

  • inflammation
  • neuropsychological deficits
  • brain damage
  • physical behaviour
  • menopause and menstrual irregularities
  • throat cancer
  • affects on the sleep cycle
 
We tumia tu mwaya hakuna atakaeshi milele:A S crown-1:
 
We tumia tu mwaya hakuna atakaeshi milele:A S crown-1:
Ujui kuwa kutumia hivyo vitu ni kujiuwa mapema?

Ni familia ngapi zimesambaratika kwa sababu ya ulevi...!?

Watoto wangapi wameachwa yatima, wanawake wangapi wameachwa wajane kwa sababu ya matumizi ya ulevi na uvutaji wa sigara!?
 
Hata too much sex ni hatari tu kama ilivyo too much ulabu and fegis. Kila kitu muwe na kiasi!
 
Alcohol impairs behavior, judgment, memory, concentration and coordination.

  • inflammation
  • neuropsychological deficits
  • brain damage
  • physical behaviour
  • menopause and menstrual irregularities
  • throat cancer
  • affects on the sleep cycle

YEEEEEEEEs that is wat i want it, thanx for that but Friend wat persist long among the two.
 
Ujui kuwa kutumia hivyo vitu ni kujiuwa mapema?

Ni familia ngapi zimesambaratika kwa sababu ya ulevi...!?

Watoto wangapi wameachwa yatima, wanawake wangapi wameachwa wajane kwa sababu ya matumizi ya ulevi na uvutaji wa sigara!?
Ujui kuwa kutumia hivyo vitu ni kujiuwa mapema? ................ Kwa kulinganisha na tarehe ipi ambayo mtu alitakiwa afe.....??

Ni familia ngapi zimesambaratika kwa sababu ya ulevi...!? .............. Unadhani wasio walevi ndoa zao hazisambaratiki....????

Watoto wangapi wameachwa yatima, wanawake wangapi wameachwa wajane kwa sababu ya matumizi ya ulevi na uvutaji wa sigara

.............. Yatima wanatoka kwa wasiovuta na wanaovuta sigara, kwa walevi na wasio walevi
 
Sigara hatari zaidi

enjoy alcohol kiasi kwa afya na uchangamfu wa akili
 
Ulabu na sigara, hata ukitumia kidogo ni hatari kwa afya yako.

Fegi ni kweli hazifai. Ila the main carcinogen iliyopo kwenye fegi ni 'tar" ambayo ipo kwenye smoke from any burnt plant materials. sasa fikiria sources zingine za moshi.

Ulabu kidogo hauna madhara, unless unaungalia from moral and religious point of view. Physiologically, hata kama hupati ulabu moja kwa moja, bado mwili wako una ulabu ndani. Pia misosi kibao kama maandazi na mikate ina contents za ulabu japo kidogo. Science, imeonyesha pia kuwa "wine" ni nzuri kwa moyo wako. Of course, usifakamie saaaana. Kiduchu tu inatosha,
 
Ukiweza kabisa acha....especially Sigara
Uishidwa basi tumia kidogo sana...Pombe! Ila kwanini ushindwe yote yawezekana kwa imani
Zote Sigara na Pombe zina madhara...Japo sigara ina madhara zaidi!
 
mbona mnatutisha jamani? Tuacheni wenyewe tuendelee kuburudika si hata mabango yao yanaeleza athari za uvutaji? Sasa si mtuache tufe wenyewe mapema? Alaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!
 
Ujui kuwa kutumia hivyo vitu ni kujiuwa mapema? ................ Kwa kulinganisha na tarehe ipi ambayo mtu alitakiwa afe.....??
Sawa mkuu nimekuelewa...! Vipo vya mapema nina maanisha Life expectancy, ambao ni wastani wa kuishi wa mwanadamu, kulingana na overall quality of life... Baadhi ya vitu vinavyochangia ili kupata wastani wa kuishi kulingana na nchi hadi nchi, kama nilivyo eleza hapo juu ni ubora wa maisha wa mtu mmoja mmoja na kwa ujumla... hapa kuna maradhi na mazingira anayo ishi mtu....!

Mtanzania wa kawaida anategemea kuishi kwa wastani wa miaka 52.49, Wanaume wanategemewa kuishi wastani wa miaka 50.99 na wanawake ni wastani wa miaka 54.03. Hii ni kwa mujibu wa CIA the-world-factbook.

Nchi kama Ireland wao wastani wao wa kuishi ni miaka 80.07
Wanaume: 77.86
Wanawake: 82.41

Sasa kwa mtu ambaye ni mlevi na mvutaji wa sigara, wastani wake wa kuishi upungua sana ukilinganisha na wastani wa jumla. Ukifariki chini ya wastani huo, ina maanisha kuwa umekufa ukiwa chini ya wastani ulio tarajiwa kuishi. Ukipita umri wa miaka 55+ basi upo juu ya kiwango cha kuishi.

Ni familia ngapi zimesambaratika kwa sababu ya ulevi...!? .............. Unadhani wasio walevi ndoa zao hazisambaratiki....????
Idadi ya ndoa zinazo sambaratika kwa sababu ya ulevi ni nyingi sana kulinganisha na wasio walevi...!

Kwenye ulevi kuna mambo mengi sana yenye kuchangia kuharibika kwa ndoa, mlevi hana haya, hana heshima, hana ustaarabu, na kufanya matendo ya kipuuzi mara nyingi. tunashuhudia kila leo kwa walevi Kutoa maneano machafu kama matusi, walevi wengi ni wagomvi, kuharibu ndoa kwa kukosa kutimiza haki za mke na watoto.

Lingine kubwa ni kuharibika kwa afya na siha ya mnywaji ulevi...!

Watoto wangapi wameachwa yatima, wanawake wangapi wameachwa wajane kwa sababu ya matumizi ya ulevi na uvutaji wa sigara

.............. Yatima wanatoka kwa wasiovuta na wanaovuta sigara, kwa walevi na wasio walevi
Vifo vinavyotokana na saratani ya mapafu na kansa ya ini ni kubwa sana duniani.

Walevi na wavutaji sigara wengi wapo hatarini kupata maradhi ya moyo na mapafu (heart attacks, strokes, chronic obstructive pulmonary disease (COPD), emphysema, and cancer (particularly lung cancer, cancers of the larynx and mouth, and pancreatic cancer), pia wapo hatarini kupata kitu kinachiitwa peripheral vascular disease na hypertension. Na matatizo ya Ubongo.

Wataalam UK wa maradhi mbali mbali wanatufahamisha kuwa ulevi peke yake unasababisha vifo vya watu visivyopungua 33,000 kila mwaka... Hii ni nchi iliyoendelea, na wastani wake wa kuishi ni mkubwa kulinganisha na Tanzania, je vifo kwa Tanzania vifo vinavyo sababishwa na uvutaji na unvyaji wa ulevi ni wa kiwango gani?

Tunasoma kwenye mafundisho ya dini na imani zetu:

Wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo.
Q 2: 125

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Hakika Shet'ani anataka kutia kati yenu uadui na chuki kwa ulevi na kamari, na akuzuieni kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kusali. Basi je, mmeacha?

Q5:90-91

Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao!
Isaiah 5:11

Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,
ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.

Galatians 5:19–21
 
Fegi ni kweli hazifai. Ila the main carcinogen iliyopo kwenye fegi ni 'tar" ambayo ipo kwenye smoke from any burnt plant materials. sasa fikiria sources zingine za moshi.

Ulabu kidogo hauna madhara, unless unaungalia from moral and religious point of view. Physiologically, hata kama hupati ulabu moja kwa moja, bado mwili wako una ulabu ndani. Pia misosi kibao kama maandazi na mikate ina contents za ulabu japo kidogo. Science, imeonyesha pia kuwa "wine" ni nzuri kwa moyo wako. Of course, usifakamie saaaana. Kiduchu tu inatosha,
Unaweza kuthibitisha hayo niliyoyakoza?
 
Back
Top Bottom