Kipi ni kigezo muafaka kwa Mwanaume kuoa, Je Ni umri, kipato au upendo wa dhati?

Kipi ni kigezo muafaka kwa Mwanaume kuoa, Je Ni umri, kipato au upendo wa dhati?

Umri na Maturity, maana kuoa kunataka akili pia ujizire hasa kwa kizazi hiki kilichomuasi Mungu.
 
Kumekuwa na mvutano wa nafsi kati yetu wanaume, wengine kuoa kwa kufuata mkumbo, wengine kuoa kwa kuwa ana kipato kizuri, wengine kuoa kwa kuwa anaona umri unakimbia na mwengine kuoa kwa kuwa amefanikiwa kumpata yule wanaopendana, Je ni nini asa kigezo muhimu kwa mwanaume ili aweze kuchukua maamuzi ya kuoa??

Mi kwangu nikiwa na kipato stable aisee ina epusha mambo mengi sana....
 
Mimi nafikiri umri na kipato ni muhimu zaidi ili kuweza kuboresha familia yake
 
Kwa tulipofikia ni upendo na uwe na uhakika unaweza kusamehe pia naw unaweza kujishusha ukikosea ukasema samahni Otherwise msioe watoto wa watu maana pmoja na umri na vipato Bado ndoa hazinaamni
 
Back
Top Bottom