Kipi ni kigumu zaidi kukifanya mchana kweupe?

Mambo ya walawi : Mlango 20

10 Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, naam, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mtu mume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.
 
Warumi : Mlango 6

21 Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.
 
Samahani mkuu unatumia kinywaji gani nikupe offer

Sent using Jamii Forums mobile app
1 wafalme : Mlango 13

9 maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula cho chote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia.
 

Attachments

  • 49519615_2098408816891097_6744106881112866816_n.jpg
    17 KB · Views: 24
Huu Uzi wachangiaji wote wameshusha nondo za Bible kasoro mim hakuna kitu kichwani I fell impressed sana mtoa mada moto unao umekutana Na mapapaa wakwakanisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakula mayai yake nikuletee? Wametaga sana mwezi huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yoahana 3: Mstari 20-21

-Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
-Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.
 
Vyote rahis mkuu, ugum upo wap kwan
 
Mithali : Mlango 6

32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Mtu akishangia guest tayr ameenda kuzini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…