Gloriamagret
Member
- Jun 12, 2023
- 47
- 155
Kama %alcohol ni 35, ina maana unakunywa 8 units za alcohol. Kwa afya hiyo chupa inatakiwa kunywewa na wanawake 4 (unit 2 au pungufu, kwa mwanamke mmoja), au wanaume wawili (unit 4 au pungufu, kwa mwanaume mmoja). Na usinywe zaidi ya mara nne kwa wiki.Kipi ni kiwango sahihi cha pombe kali kiafya?.mimi nakunywa konyagi ndogo 250 mls kwa siku.tena nakunywa na maji lita moja kwa pamoja.nakunywa kidogo kidogo kwa masaa matatu kutoka saa moja usiku mpaka saa nne usiku.nachangamka kidogo.naingia home.naoga.nakula na kulala saafi kabisa.
Je kiafya niko sahihi?
Unaweza kufafanua kidogo hayo mahesabu hapo mkuu?Kama %alcohol ni 35, ina maana unakunya 8 units za alcohol. Kwa afya hiyo chupa inatakiwa kunywewa na wanawake 4 (unit 2 au pungufu, kwa mwanamke mmoja), au wanaume wawili (unit 4 au pungufu, kwa mwanaume mmoja). Na usinywe zaidi ya mara nne kwa wiki.