Gloriamagret
Member
- Jun 12, 2023
- 47
- 155
Mimi nakunywa konyagi ndogo 250 mls kwa siku, tena nakunywa na maji lita moja kwa pamoja.
Nakunywa kidogo kidogo kwa masaa matatu kutoka saa moja usiku mpaka saa nne usiku, nachangamka kidogo, naingia home naoga, nakula na kulala safi kabisa.
Je, kiafya niko sahihi?
Nakunywa kidogo kidogo kwa masaa matatu kutoka saa moja usiku mpaka saa nne usiku, nachangamka kidogo, naingia home naoga, nakula na kulala safi kabisa.
Je, kiafya niko sahihi?