Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Service ya magari ya maji ya kuwasha, ununuzi wa vilipuzi, risasi, posho za maaskari na maafisa wa jeshi la polisi ambao wamepatakaa barabarani leo ni kubwa sana. Hata kama hujui hesabu lazima utajua tu sio chini ya bilioni 2.
Huku vijana wa CHADEMA wanaosadika kutekwa hawazidi 20. Polisi Kuna kitengo cha kuwakomboa waliotekwa, rafiki yangu mmoja yupo kwenye kitengo hicho alipata mafunzo hapahapa Dar es Salaam.
Kwahiyo vijana wa jeshi la police 100 tu wangeweza kutosha kuwatafuta na kuwakomboa waliotekwa wote.
Kama hawajatekwa pia ni kazi ya polisi kuwatafuta na kusema wako wapi. Kama wamejiteka washikwe wapelekwe Mahakamani kwa mujibu wa Sheria.
Hii ya kutumia mabilioni kuzuia maandamano ya mtu ambaye hajashika hata fimbo haiingii akilini
Huku vijana wa CHADEMA wanaosadika kutekwa hawazidi 20. Polisi Kuna kitengo cha kuwakomboa waliotekwa, rafiki yangu mmoja yupo kwenye kitengo hicho alipata mafunzo hapahapa Dar es Salaam.
Kwahiyo vijana wa jeshi la police 100 tu wangeweza kutosha kuwatafuta na kuwakomboa waliotekwa wote.
Kama hawajatekwa pia ni kazi ya polisi kuwatafuta na kusema wako wapi. Kama wamejiteka washikwe wapelekwe Mahakamani kwa mujibu wa Sheria.
Hii ya kutumia mabilioni kuzuia maandamano ya mtu ambaye hajashika hata fimbo haiingii akilini