Kipi ni sahihi?

Kipi ni sahihi?

fikirini

Senior Member
Joined
May 24, 2011
Posts
114
Reaction score
22
Napata shida kutambua usahihi wa sentensi hizi. 1.Baba wa malkia ni John 2. Baba ya malkia ni john. ipi ni sahihi kati ya hizo?
 
kwa kuangalia upatanisho wa kisarufi "Baba wa malkia ni sahihi" au unaweza kusema "Baba yake malkia" na wala si Baba ya malkia
 
Back
Top Bottom