KIPI. UNAPENDA KUFANYA UNAPOAMKA. ASUBUHI

Kwa kuwa huwa nalala bila nguo, Lazima niamke nijikague kama Niko salama huko down, then najiangalia kwenye kioo nikiridhika ndo naanza ratiba zingine
 


Natukana chadema!
 
Kwanza nafanya maombi kwa kuamka salama then naangalia kwenye friji natoa safari moja naipiga afu ndo naanza mchakato wa kuwah kibaruani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…