Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?

S

Sasa kama mna watoto,,,,unafanyaje?
 
Akikubania, tafuta Siku mpitishe sehem yenye malaya, aone ulivyo easy kupala K mtaani
Akikujibu kuwa si ungekuwa unalala na hao Malaya umemuolea nini nahuku utelezi unapatika kiurahisi na malaya.
 
Akikujibu kuwa si ungekuwa unalala na hao Malaya umemuolea nini nahuku utelezi unapatika kiurahisi na malaya.
Utajibuje? Kununua Malaya siyo vzr, bora upige chini huyo mke uoe mwingine.
 
Angalia na upande wa pili yaweza kuwa katupiwa jini la kukukataa ili uchepuke ndoa ifie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…