Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda sana hiiKuwa na Chumba kidogo kwa ajili ya mabegi,makabati ya nguo ili Chumba Cha kulala kiwe na kitanda Kochi na meza ndogo tu.
Nilichukua ule usemi usichukulie poa nyumba ni choo!
So nyumba yangu ya vyumba 4 vya kulala kila chumba niliweka self contened choo Ndani!
Lakini choo tunayotumia ni Moja tu master, na ya public, hizo nyingine natamani kuziondoa
Ina maana hivyo vyumba vingine viwili havina wakazi mf. watoto etc.Sivitumiii vipo kama pambo kifupi hatuna uwezo wa kutumia nyumba nzima
Nadhani hiki ni kwa ajili ya maombi ya pamoja kifamilia.Hapo kwenye chumba cha maombi huwezi kusalia chumbani kwako mkuu?
Kwanini havitumiki au hakuna watu wa kuvitumia hivyo nyumba?Nilichukua ule usemi usichukulie poa nyumba ni choo!
So nyumba yangu ya vyumba 4 vya kulala kila chumba niliweka self contened choo Ndani!
Lakini choo tunayotumia ni Moja tu master, na ya public, hizo nyingine natamani kuziondoa
Watengenezee mazongira magumu ili washindwe kwenda kufuria nje, akikisha maji yawe shida kupatika nje na mabeseni ya kufuri yawe machacheLaundry room sioni faida yake kila siku kufua ni nje, hasara tupu bora kuibadilisha iwe reading room
Inabidi uweke rules ili mabaki ya chakula yasidondoke popote. Hapo Ni weweDining room! Yan nawish isingekuepo maana uwa nalia mm tu chakula hapo! Wengne vyumban mara sebuleni mara barazani hata wageni wakija chakula wanapelekewa sebuleni[emoji23]
Anaongelea oftenly sio kuwa havitumiki kabisa Ila Ile frequency iko chini mnoKwanini havitumiki au hakuna watu wa kuvitumia hivyo nyumba?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Washing machine nguo za familia nzima gharama za umeme zinaongezekaWatengenezee mazongira magumu ili washindwe kwenda kufuria nje, akikisha maji yawe shida kupatika nje na mabeseni ya kufuri yawe machache
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hirizi yenye nguvu sana mlangoniUMEJENGA?
Kipi unatamani kingekuwepo kwenye nyumba yako na kipi umegundua hakina mahitaji ya lazima lakin unacho?
Let’s share ideas!
Wewe jamaa kwenye hii tasnia ya ulozi huwa nakukubali sana 🤣🤣🤣Hirizi yenye nguvu sana mlangoni
Unajua hapa watu wanaongea ya kimwili tu huku wakisahau na ya kiroho nayo ni muhimu sanaWewe jamaa kwenye hii tasnia ya ulozi huwa nakukubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli mzee baba nasikia ulikabidhiwa mikoba ya hizi mambo eti? 🤔😅Unajua hapa watu wanaongea ya kimwili tu huku wakisahau na ya kiroho nayo ni muhimu sana
Mimi huwa nawaambia ndugu zangu wanaojenga wasiweke vyoo vingi kwenye nyumba lakini siku hizi imekuwa fashen.Nilichukua ule usemi usichukulie poa nyumba ni choo!
So nyumba yangu ya vyumba 4 vya kulala kila chumba niliweka self contened choo Ndani!
Lakini choo tunayotumia ni Moja tu master, na ya public, hizo nyingine natamani kuziondoa
Mimi sikuwahi kukabidhiwa mikoba wala hirizi wala tunguli na mtu yoyote yule.. Mimi kilinge changu nilikijenga mwenyewe, na nilipoamua kuachana na ulozi nikatangaza kukiuza na mteja kutoka Sumbawanga ndio alishinda tenda akabeba mzigo wote.. Sasa hivi nimebaki mweuppee peeeKweli mzee baba nasikia ulikabidhiwa mikoba ya hizi mambo eti? [emoji848][emoji28]
Hahaa nimekukubali mzee baba mteja kutoka Sumbawanga akakikubali kilinge chako!!🤔 ulitishaMimi sikuwahi kukabidhiwa mikoba wala hirizi wala tunguli na mtu yoyote yule.. Mimi kilinge changu nilikijenga mwenyewe, na nilipoamua kuachana na ulozi nikatangaza kukiuza na mteja kutoka Sumbawanga ndio alishinda tenda akabeba mzigo wote.. Sasa hivi nimebaki mweuppee peee
Ni wazo zuri lakini sasa changamoto ya usalama, maana kuna Dada wa kazi wezi anaweza akawa anapunguza kidogokidogo mpaka uje kujua too late, labda Uwe na funguo kabisa.Kuwa na Chumba kidogo kwa ajili ya mabegi,makabati ya nguo ili Chumba Cha kulala kiwe na kitanda Kochi na meza ndogo tuu..