Elections 2010 Kipigo cha CCM ni matokeo ya kulipa fadhira kwa JK, kaua chama Mkwere

Elections 2010 Kipigo cha CCM ni matokeo ya kulipa fadhira kwa JK, kaua chama Mkwere

Hamna jipya!!!!!Jipangeni.................unganeni.
 
ccm & jk (small letters) wanaelekea kuangamia. Wanajua hilo isipokuwa hawawez kukir hadharan. Ishallah ya yote haya ni matokeo ya uchaguz ambao wanahaha kuchakachua. Yo end is near & itakuwa mbaya. Tusubir
 
...lakini na vyama vya upinzani visipoungana kamwe hawataweza kuing'oa ccm madarakani. Hebu angalia matokeo ya tarime!
 
Back
Top Bottom