BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,028
wamelifungia mwanahalisi,
wanawatimua wafanyakazi-tigo.
kama wanaubavu watufate na sie tuliosoma mwanahalisi.
msg have been sent n delivered,wamechelewa.
Tena wamechelewa mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamelifungia mwanahalisi,
wanawatimua wafanyakazi-tigo.
kama wanaubavu watufate na sie tuliosoma mwanahalisi.
msg have been sent n delivered,wamechelewa.
Tiss au hawa vijana 30 wahitimu wa sosholoji UDSM na agroeconomy SUA? Halafu jitu likimwagiwa tindikali wanasema serikali.
kwa hilo tunajifunza nini? Ni kweli kulikuwa na mawasiliano ya simu kati ya watekaji wa dr Mboka!
Your troubles in getting a job should not prevent you from utilizing what is enclosed in your cranial cavity. Your fired before being hired.afadhali wafukuzwe! labda na sisi tutapanta ajira!
Aliyemteka Dr. Ulimboka ni RAMADHANI IGHONDU mfanyakazi wa Ikulu
Aliyemteka Dr. Ulimboka ni RAMADHANI IGHONDU mfanyakazi wa Ikulu
Watumishi hao wa TIGO,
wanatuhumiwa kutoa siri za mawasiliano kwa gazeti la mwanahalisi, ni
kosa jingine wanafanya!