Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baada ya Israel kupata kipigo cha Paka mwizi na Waziri wa Ulinzi amekoswa kulambishwa mchanga na drone za Hezbollah sasa Netanyahu katoa mlio wa uwoga😂 kua anataka kuanzisha vita na Hezibollah

⚠️BREAKING NEWS⚠️

Israeli PM natanyahu:

This is right time to punish Hezbollah. We will not bear more damage . We will soon start military operations against Hezbollah
 

Attachments

  • IMG_20240707_222856.jpg
    IMG_20240707_222856.jpg
    52.2 KB · Views: 4
  • IMG_20240707_223327.jpg
    IMG_20240707_223327.jpg
    59.8 KB · Views: 2
Kwahio wakiua watoto wasiambiwi kweli wazayuni wa jf mna matatizo kwel kwel
Kwahy unataka bomu likirushwa lichague watu wa kuua, nyie wala kitimoto kwa siri kwan mkirusha bomu kwenda Israel hua mnaua wanaume tuu? Na kama mnaua wanaume wa Israel tuu bc na nyie jifunzeni kuwalinda hao wanawake na watoto wenu ili wasiuawe na mabomu ya Israel
 
Back
Top Bottom