Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

Israel angekuwa mnyonge kiasi hicho nchi za kiarabu zingekuwa zimesha mvamia na kitwanga lakini Israel ni moto ulao mji wa Gaza umebaki Magofu kila familia ni vilio, sera za Israel hazibadiki hakuna siku ambayo waziri mkuu ataingia halafu asema nataka tuunde mataifa 2 . Tena atakapoingia Beny Gantz ambaye ni mtu wa vita nchi za kiarabu zitajuta, huyo amezaliwa na kukulia Israel tofauti na Netanyahu mtu wa USA.
kwani Gaza kuna ,,jeshi,,lenye silaha na ndege za vita za kupigana na israel?
Sema israel alikuwa anabomoa majengo na kuua watoto..
 
Ussr wakati wanapambana na hitler inasemekana walikufa kama watu 20M
Kufa sio kuzuri ila kuna muda haki haiji bila vifo kutokea
Wame exaggerate figures Ili wapate world sympathy
Inasemekana waliouwawa hawazidi 2m
Wao wanadai ni approximately ni 6m to 7m ndio waliouwawa na Hitler
Ukitaka ukweli zaidi waweza search
"Does 6 million Jews really died" ?

Kuna mtu UK aliandika Kitabu chenye title kama hiyo hapo juu baada ya muda kilipigwa marufuku

Hii world sympathy ndio inafanya hilo Taifa Lina survive mpaka hivi sasa
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Baada ya Israel kupata kipigo cha Paka mwizi na Waziri wa Ulinzi amekoswa kulambishwa mchanga na drone za Hezbollah sasa Netanyahu katoa mlio wa uwoga[emoji23] kua anataka kuanzisha vita na Hezibollah

[emoji3544]BREAKING NEWS[emoji3544]

Israeli PM natanyahu:

This is right time to punish Hezbollah. We will not bear more damage . We will soon start military operations against Hezbollah
Kiongozi mwingine wa hezbollah jana kalambishwa mchanga
 
Back
Top Bottom