Kaka hizi Mambo zako zakuuza mechi ni ujinga embu achana nazo kwanza..sawa ila naongea ukweli tu siyo kwamba wachezaji hakuna ila u faza na kujiona bora kwa baadhi ya wachezaji hadi wengine kuuza mechi unaona sawa??? hii timuatimua itarudishia watu aklili zao
Kaka hizi Mambo zako zakuuza mechi ni ujinga embu achana nazo kwanzasawa ila naongea ukweli tu siyo kwamba wachezaji hakuna ila u faza na kujiona bora kwa baadhi ya wachezaji hadi wengine kuuza mechi unaona sawa??? hii timuatimua itarudishia watu aklili zao
Yanga mnafalijiana...Kabisa
hata nispoyaacha ubingwa kuchukua mwaka huu ni ngumu jiandae kisaikolojiaKaka hizi Mambo zako zakuuza mechi ni ujinga embu achana nazo kwanza
Yanga mnafalijiana...
mpuuzi wewe bwege nimekuambia mimi shabiki wa simba jinga kabisaKama mkiuwa wachezaji wetu wote sawa...mechi mbili haziwezi kuwa kipimo sahihi Cha michuano kwa ujumla,acha ujinga Kaka.
Toka zako Simba tunaamini kwenye nguvu moja,Ila wewe ni nguvu pinzani huwezi kuwa mshabiki wa Simba unakengeuka hovyo huna moyo wakiume we ni π΅π΅π΅π΅tu Kama π΅π΅π΅π΅ wengine..mpuuzi wewe bwege nimekuambia mimi shabiki wa simba jinga kabisa
Nyie Bata fc hebu tulizeni akili kwanzaNdio nachukua Tena ubingwa,nyie mautopolo mamisukule mashetani mapunguani kwa Sasa wanaume Simba yumeamua shauli yenu.. wanaume hatutaki Tena 50/50 kila mtu ajitegemee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapelekee moto tuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] We ni raia wakigeni hujui hasira za yanga kushindwa kubebwa na waume zao simba.siku zote mshahara wa mwanamke ni wake binafsi.
Kuna shida gan mzeendugu nikiwa kama mwanasimba nakushauri achana na mawazo hayo utopwinyo wan nafasi kubwa san ya kuchukua huu ubingwa labda hiyo timuatimua inayoendelea usiku huu itawaamsha wahusika klabuni
Na nyie mmezidi kufungwa kama libolo fc bhanaHatujawahi kuwa maboya Kama utopolo,tunasimama na timu yetu.kama tunashangilia pamoja kwanini tusihuzunike pamoja? SIMBA NGUVU MOJA...