Kipima joto cha ndoa

Kipima joto cha ndoa

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
392311_382699971783329_591903381_n.jpg



Kuna mahali wanandoa waliulizwa swali hili:
Je, mke uliyenaye au mume uliyenaye sasa kama ingetokea sasa hivi iwe ni ule wakati unachumbiana naye kuwa mke au mume ungemchagua kuoana naye?
Zaidi ya asilimia 70 walisema wasingekuwa tayari kuoana nao kwani wamegundua kuna tofauti kubwa sana ya mtu aliyenaye sasa na yule alikuwa kabla ya kuoana.
Je, wewe ungeliulizwa swali hili leo ungekuwa na jibu gani?
... Ukweli jibu unalo wewe ndani ya moyo wako na ni siri yako.
Ukitaka kujua ndoa yako ina joto kiasi gani unaweza kujibu maswali yafuatayo kwa usahihi na uaminifu kabisa kwa kuchagua jibu sahihi kwako.

1. Tunaweza kumaliza mgogoro au tofauti ya mgongano wa kimawazo chini ya dakika 15.
A. Hata siku moja.
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote

2. Huwa tuna tabia ya kumaliza matatizo yetu kabla ya kulala
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
3. Huwa nawaza kuhusu talaka
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote

4. Namkumbatia na kumpa busu mpenzi wangu kwa mahaba
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
5. Mapenzi katika ndoa yetu yanaridhisha sana
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
Hadi hapo naamini umepata picha kamili ya wapi unaelekea na mpenzi wako.
Je, yafuatayo nayo ni wimbo wa kila siku katika ndoa yako?
Kama ni kweli basi unahitaji msaada haraka iwezekanavyo.
Mawasiliano ovyo
Hakuna tendo la ndoa na kama lipo basi ni bora wajibu hakuna ladha halisi
Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
Hakuna mahaba
Hakuna kutiana moyo wala kupeana asante
Migogoro isiyoisha
Kuumizana kihisia
Kukosa uaminifu kati ya mwanandoa
Migogoro ya matumizi ya fedha
Tabia ya kukefyakefya

AMEN....................!!!!!
 
mh.................bitter truth..lol
 
Ngoja waliopo kwenye ndoa waje..
 
392311_382699971783329_591903381_n.jpg



Kuna mahali wanandoa waliulizwa swali hili:
Je, mke uliyenaye au mume uliyenaye sasa kama ingetokea sasa hivi iwe ni ule wakati unachumbiana naye kuwa mke au mume ungemchagua kuoana naye?
Zaidi ya asilimia 70 walisema wasingekuwa tayari kuoana nao kwani wamegundua kuna tofauti kubwa sana ya mtu aliyenaye sasa na yule alikuwa kabla ya kuoana.
Je, wewe ungeliulizwa swali hili leo ungekuwa na jibu gani?
... Ukweli jibu unalo wewe ndani ya moyo wako na ni siri yako.
Ukitaka kujua ndoa yako ina joto kiasi gani unaweza kujibu maswali yafuatayo kwa usahihi na uaminifu kabisa kwa kuchagua jibu sahihi kwako.

1. Tunaweza kumaliza mgogoro au tofauti ya mgongano wa kimawazo chini ya dakika 15.
A. Hata siku moja.
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote

2. Huwa tuna tabia ya kumaliza matatizo yetu kabla ya kulala
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
3. Huwa nawaza kuhusu talaka
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote

4. Namkumbatia na kumpa busu mpenzi wangu kwa mahaba
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
5. Mapenzi katika ndoa yetu yanaridhisha sana
A. Hata siku moja
B. Mara chache sana
C. Mara kwa mara
D. Mara zote
Hadi hapo naamini umepata picha kamili ya wapi unaelekea na mpenzi wako.
Je, yafuatayo nayo ni wimbo wa kila siku katika ndoa yako?
Kama ni kweli basi unahitaji msaada haraka iwezekanavyo.
Mawasiliano ovyo Ndiyo
Hakuna tendo la ndoa na kama lipo basi ni bora wajibu hakuna ladha halisi
Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
Hakuna mahaba
Hakuna kutiana moyo wala kupeana asante
Migogoro isiyoisha
Kuumizana kihisia
Kukosa uaminifu kati ya mwanandoa
Migogoro ya matumizi ya fedha
Tabia ya kukefyakefya

AMEN....................!!!!!

Majibu yako kwenye red. Msaada uko wapi?? Uweke hapa wote wanufaike!!
 
Kadiri mlivyo jaaliwa, hata mara moja au mara nyingi tuu, bila kujali ni wapi ilimradi kuwe na faragha mtu asiwa chabo, hata jikoni, hata sebuleni, hata bafuni kama anafua na wewe mfue tu.
 
mmh! aisee sijui wenzangu ila kwangu mimi huwa hii ni institution isiyohitaj umri wala phd bali maturity ya akili na busara zaid.
 
Kipimajoto kizuri sana mkuu kwa wanandoa.
Hapa kila mtu anaweka majibu yake na kutafakari mwenyewe moyoni kama anamapungufu gani.
Ila ni vyema kwa kudumisha ndoa zetu.
 
Back
Top Bottom