Kipimo cha akili: Jibu chemsha bongo hii ndogo kujidhihirisha wewe ni great thinker.

Kipimo cha akili: Jibu chemsha bongo hii ndogo kujidhihirisha wewe ni great thinker.

987e67035e8ac570a1a1c0d291111df6.jpg
 
c8e2b5a32b26b4af3283a16413c79734.jpg


Mkuu swali,

Swali namba 2, jibu ni 5. Naomba usinitag tena ukiongeza maswali mengine. Nna tatizo moja, swali likinishinda naacha kila kitu, sasa hiyo inanipotezea muda nakosa raha siwezi kufanya kitu kingine..hahahahahahaaaa

Nakumbuka shule ilikua swali likigoma, ntalala naliwaza naweza kuota nalisolve, nikishtuka naamka kulifanya tena.
Kwenye maisha hiyo kitu sio nzuri sana, lazima ujifunze kuachilia mambo, kuna mengine yatakushinda, fanya yale unayoyaweza jitahidi kadri uwezavyo lakini usilazimishe sana ukapoteza muda na rasirimali zingine.
Shukran
 
c8e2b5a32b26b4af3283a16413c79734.jpg


Mkuu swali,

Swali namba 2, jibu ni 5. Naomba usinitag tena ukiongeza maswali mengine. Nna tatizo moja, swali likinishinda naacha kila kitu, sasa hiyo inanipotezea muda nakosa raha siwezi kufanya kitu kingine..hahahahahahaaaa

Nakumbuka shule ilikua swali likigoma, ntalala naliwaza naweza kuota nalisolve, nikishtuka naamka kulifanya tena.
Kwenye maisha hiyo kitu sio nzuri sana, lazima ujifunze kuachilia mambo, kuna mengine yatakushinda, fanya yale unayoyaweza jitahidi kadri uwezavyo lakini usilazimishe sana ukapoteza muda na rasirimali zingine.
Shukran
Haha.

Mimi yalinishinda pia...

Sema napenda pia changamoto..

Usijali bro... Ila nitakua naongeza mengine siku ukiwa free pita unoe akili hapa
 
Haha.

Mimi yalinishinda pia...

Sema napenda pia changamoto..

Usijali bro... Ila nitakua naongeza mengine siku ukiwa free pita unoe akili hapa

Natania kaka, napenda sana changamoto za chemsha bongo. Sema tatizo ndio hapo inapogoma. Yaani hata nikisahau jambo, itanisumbua sana hadi ntakapokumbuka.
 
Natania kaka, napenda sana changamoto za chemsha bongo. Sema tatizo ndio hapo inapogoma. Yaani hata nikisahau jambo, itanisumbua sana hafi ntakapokumbuka.
Mwenyewe changamoto napenda sana.. Inaumiza sana ukashindwa kuchallage inakuwazisha mno
 
Back
Top Bottom