Kipimo cha HIV na taaruki niliyoipata

Halafu zina pasuka haraka
 
Vipimo vya ukimwi havitakiwi kukaa zaidi ya dakika 20 baada ya kupima, ndani ya dakika tano soma majibu yako then katupe kusikojulikana, mtakuja mfe na presha😂😂😂, wewe ni mzima kula maisha kula bata kula mbususu kwa akili.
 
Hivi huwa mnapima ili mgundue nini? Na ulivyo boya unarudia mara mbili mbili!
 
Vipimo vya ukimwi havitakiwi kukaa zaidi ya dakika 20 baada ya kupima, ndani ya dakika tano soma majibu yako then katupe kusikojulikana, mtakuja mfe na presha😂😂😂, wewe ni mzima kula maisha kula bata kula mbususu kwa akili.
Ukweli nusu nizimie kuona kimebadilika nina kushukuru kwa maelezo yako
 
Vijana tupunguze ngono zembe hali si shwari ata kidogo kuuza mechi ni noma sana mwisho wa siku tunaanza kuishi kwa ofu
 
Kumbukeni kondomu jmn HV unawezaje kwenda kuloweka mboo yako sehemu ambayo imelowekwa Zaid ya mboo 30 kwa mwezi

Never hata nikimpimaga mtu Bado simuamini kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…