nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Vya asilinile vyakula vya aina gani sheikh ili nikivaa ndom isilale ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vya asilinile vyakula vya aina gani sheikh ili nikivaa ndom isilale ?
Halafu zina pasuka harakaIla sio siri nilitumiaga hizi condom za serikali zilinipa vipele na mpka nikaenda hospitali nikapima gono kaswende uti na ukimwi sikua navyo ila doc akashauri bora uache au ununue condom tofaut na hizi zinazoitwa zana. Nilijuta sana na Mungu mkubwa wife alikua kasafiri ila kingenuka sana asee
Vipimo vya ukimwi havitakiwi kukaa zaidi ya dakika 20 baada ya kupima, ndani ya dakika tano soma majibu yako then katupe kusikojulikana, mtakuja mfe na presha😂😂😂, wewe ni mzima kula maisha kula bata kula mbususu kwa akili.Kama mwezi umepita nilipo pata lile tukio la dharura ikanibidi haraka niwahi kuomba PEP, nikapatiwa ikabidi ni kae zaidi ya mwezi mmoja ili nipime kama hali koje
Jana nikajitoa mhanga nikajipima, majibu yakawa clear yani mstari mmoja, kile kipomo sikukitupa nikawa bado nimekiacha mezani nikatoka nyumbani baada ya kurudi nikakuta mistari mitatu kwakweli nilitaka kuzimia.
Nikaamua kurudia mara mbili sababu nikikuwa na vipimo vitatu, vyote viwili nilivyo rudia mwanzo havikuonesha mistari zaidi ya mmoja lakini baadae vikaonyesha mistari miwili
Nilidhani niko na kujiamini, kweli sikuwa na kujiamini kabisa nilitaka kuzimia kwa hofu kubwa.
Leo nikajitutumua kwenda kule kwenye kituo cha afya ili nikafungue file kufika kule nikawambia kwamba hali sio nzur. Wakasema wanipime, walipo nipima wakanaimbia mbona hakuna nikawaambia bado muda sababu majibu yana kuja baada ya dakika 30
Wakaniambia hivi vipimo vipya, inapaswa usivisome baada ya dakika 20 zaidi ya hapo majibu yana kuja sio, hivyo usihofu. Mpaka dakika hii bado nina tetemeka ninataka kwenda kutoa damu nyingi niangaliwe vizuri zaidi
Ukweli nusu nizimie kuona kimebadilika nina kushukuru kwa maelezo yakoVipimo vya ukimwi havitakiwi kukaa zaidi ya dakika 20 baada ya kupima, ndani ya dakika tano soma majibu yako then katupe kusikojulikana, mtakuja mfe na presha😂😂😂, wewe ni mzima kula maisha kula bata kula mbususu kwa akili.
Vipimo hivyo baada ya dk 20 huwa zinareact kwa faint colour kwenye zile type 1 na type 2 bands, ondoa hofu kula maisha, wewe ni mzima na sio the walking dead.Ukweli nusu nizimie kuona kimebadilika nina kushukuru kwa maelezo yako
Nina kushukuru sana .Vipimo hivyo baada ya dk 20 huwa zinareact kwa faint colour kwenye zile type 1 na type 2 bands, ondoa hofu kula maisha, wewe ni mzima na sio the walking dead.
Kama umekutana na mtu halafu ukawa umecheza rafuHivi huwa mnapima ili mgundue nini? Na ulivyo boya unarudia mara mbili mbili!
Asante kwa ushauri wakoSafi sana utakua umejifunza kama sio kukoma!
Ndio uache ngono zembe!!
Huja wahi kuona kipimo?Picha ya hivyo vipimo iko wapi sasa?