Mbona unamuongezea swali na ameomba umsawazishe au hizo ni lungha tu wengine wamezijulia beachkwahiyo ukiandikiwa non-react inamaanisha nini
Mkuu maabara ukipimwa kipimo cha kwanza kikionesha utata i.e kuchora 2 lines wanarudia na kipimo cha aina nyingine. Nacho kikionesha 2 lines basi confirmed. Ila kikileta utata as kikichora 1 line then unaenda kwenye kipimo kikubwa zaidi kinachoweza kutoa majibu even within the window period.bado hueleweki............ yaani ukienda unapimwa mara mbili ama nini? tafadhani andika kwa kirefu na kwa kiswahili sentensi zote....
Nashukuru sanaaa mkuu ubarikiwe nimekuelewa vyemaMkuu maabara ukipimwa kipimo cha kwanza kikionesha utata i.e kuchora 2 lines wanarudia na kipimo cha aina nyingine. Nacho kikionesha 2 lines basi confirmed. Ila kikileta utata as kikichora 1 line then unaenda kwenye kipimo kikubwa zaidi kinachoweza kutoa majibu even within the window period.
So for this case ni vyema muhusika akaenda kwenye hospitali zinazotoa huduma ya kipimo kikubwa
Sema "vema akarudia" maana mleta mada ndio muhusika ila katumia tu maneno ya rafiki yanguNi vema akarudia kupima kwenye hospitali au kituo kingine cha afya ili kupata hakika vizuri. Hapo mashaka yataisha.
Kuna wakati nawe utakutana na jibu hili ndugu alafu utalisikilizia linavyopenya kwa mpenyo maridhawa moyoni.Kwani yeye anapenda jibu lipi zaidi?
Negative au positive?
Hata kuwa muusika haina tatizo kwani hujafa hujaumbikaSema "vema akarudia" maana mleta mada ndio muhusika ila katumia tu maneno ya rafiki yangu
Duuh niushauri pia Asante.Acheni kutaka kumuua mtu kwa vitu vya kipuuzi... Hakuna upuuzi unaoitwa HIV... Ukimwi upo tangu zama za wakina yesu ila huo ujinga unaoitwa HIV hapo kamwe..
Ni biashara za wazungu kututeka na kutuua kisaikolojia ili wafanye biashara za dawa.
Ili uamini suala hili ni la kutengeneza na tunajiua wenyewe subiri uone mabadiliko ya afya ya ndugu yako baada ya kujijua ana huo ujinga.... Tena hali itakuwa mbaya maradufu akianza kutumia zile dawa zao za ARV's
Majibu yanayotoka pale ni reactive[+] au non-reactive[-] . hilo neno "reactive" lipo sehemu zote mbili kwenye reactive/non-reactive. Nakushauri soma vzr kwa utulivu, otherwise ukipewa majibu muombe Dr akupe tafsiri na sio ww kutafsiriHabarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
Acheni kuchezea maisha ya mtu bana... Mwambie a-relaxDuuh niushauri pia Asante.
Iwapo kipimo cha kwanza ulipimwa kwa kutumia kipimo cha SD Bioline na kuonyesha reactive(positive)halafu wakapima kipimo cha pili cha unigold kwa lengo la kuhakiki na kuonyesha non-reactive(negative)basi wewe ni mzima au hauna maambukizi ya HIV.(lakini ni kweli ulipima kwenye kituo au kliniki ya tiba)iwapo ni ndiyo basi upo salama.lakini pia kama ni kweli ulipima kituo cha afya inatia shaka kwakuwa wao walipaswa wakupatie ushauri nasaha na sio kuja hapa jf nawe pia mmh unatia mashaka.Nashukur kwa ushauri Namnukuu
Nilienda hospital kama tatu Navipimo vilikuwa vile vile
Chakwanza kilikuwa kina react lkn chapili kina soma negative
Hivyo sijui ukweli niupi hapo??
Hivi hiyo unigold ndio kipoje mkuu?Kuna Unigold na Determine
Walimueleza kuwa yupo negative aje tenaabaada ya mwezi mmojaIwapo kipimo cha kwanza ulipimwa kwa kutumia kipimo cha SD Bioline na kuonyesha reactive(positive)halafu wakapima kipimo cha pili cha unigold kwa lengo la kuhakiki na kuonyesha non-reactive(negative)basi wewe ni mzima au hauna maambukizi ya HIV.(lakini ni kweli ulipima kwenye kituo au kliniki ya tiba)iwapo ni ndiyo basi upo salama.lakini pia kama ni kweli ulipima kituo cha afya inatia shaka kwakuwa wao walipaswa wakupatie ushauri nasaha na sio kuja hapa jf nawe pia mmh unatia mashaka.
Kumbe mwenye tatizo ni wewe, sasa kwanini unamsingizia ndugu yako??!!Nashukur kwa ushauri Namnukuu
Nilienda hospital kama tatu Navipimo vilikuwa vile vile
Chakwanza kilikuwa kina react lkn chapili kina soma negative
Hivyo sijui ukweli niupi hapo??
Mkiambiwa mtumie condom hamtaki,Habarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
UNAPIMA ILI IWEJE?Habarini za hasubuhi wana jf
Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV
Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa kinasoma negative
Yaan haioneshi ku react sasa anawasiwasi na jibu sahii lakupokea nilipi
Positive or negative ??
Tafadhali kwa wataalamu naombeni ushauri wenu tuweze msaidia mpendwa huyu
Natanguliza shukraan.
Umesema ni ndugu yako,kumbe ni wewe?Nashukur kwa ushauri Namnukuu
Nilienda hospital kama tatu Navipimo vilikuwa vile vile
Chakwanza kilikuwa kina react lkn chapili kina soma negative
Hivyo sijui ukweli niupi hapo??
Umejibu vizuri sana!!! Mtoa mada zingatia huu ushauri tafadhaliMkuu maabara ukipimwa kipimo cha kwanza kikionesha utata i.e kuchora 2 lines wanarudia na kipimo cha aina nyingine. Nacho kikionesha 2 lines basi confirmed. Ila kikileta utata as kikichora 1 line then unaenda kwenye kipimo kikubwa zaidi kinachoweza kutoa majibu even within the window period.
So for this case ni vyema muhusika akaenda kwenye hospitali zinazotoa huduma ya kipimo kikubwa